Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Status
Not open for further replies.
Nilishaingia hapa. A cozy place. Jamaa anacheza na akili zenu tu kisha anapiga hela bia jasho. Shauri yenu

Cozy?! Hivi hapo uliingia peke yako? Niliwahi kuwa na project flani hapo na nishaingia zaidi ya mara 10. Sio kwa huyo Mutuz, bali jirani yake kwa yule mzee wa kipindi cha.................. (anamjua).

Sitataja jengo, lakini kwa hints tu hilo jengo lipo mkabala na 'Maendekesho Kibubu' pale mjini. Tena ni jengo chafu kishenzi. You cant come forward and brag eti ni jengo classy kwa sababu liko town. The building is totally shabby!

Hana lolote huyu jamaa. Anachonikera, hatambui fursa zinazomzunguka na kuzitumia vema! Akili yake inawaza ujinga wa rika la akina Lulu na Lina! Kazi kuja kudanganya watu mitandaoni tu! Sijui hata inamsaidia nini eti?

Ndugu zangu, Huyu jamaa haigizi. Ana maisha magumu sana. Na ugumu wake unakuja zaidi kwa sababu anaishi CHINI YA UMRI WAKE!

Nitoboee...?!
 
Interest;

yaani kupiga picha ndo ameona deal, bongo movie si ndo zao hizo wana shoot katika mijengo mikali lakini maisha yao hayaeleweki, ishi maisha yako babu umri ushakuacha
 
Last edited by a moderator:
Eh,eh,ehhh...Kumbe Mtuz anamajanga makubwa hivi kwenye familia yake.Mbona kila muda hujifanya anakula good time?
Aisee kumbe anajikazaga huyu ni tatizo kwa stail hii,Mtu yeyote asiyejali familia yake hata vitabu vitakatifu vimemkataa..Ni mtu ovyo kabisa,blaza Le mutuz badilika kwa speed unaelekea pabaya bro!
 
Babu lemutuz njoo utuone wajukuu
 
Last edited by a moderator:
Unaona ni sifa huyo ni upunguani kuwakataza watoto kumsalimia babu au baba yao, ugomvi wa wazazi sio busara kuwaunganisha watoto. Hiyo itabaki kuwa damu yake. Unavyoongea utakuwa ni ex wake au mtu wa karibu sana na ex wake. Nakushauri ukiachana na mtu usimfatilie maana utazidi kuumia roho na hasa kama ulikuwa unampenda kwa dhati. Ukikaa kushindana na mwanaume utakufa kwa presha dada.
 

babe muache mbebez...au una kisas nae tokea nimepiga naye pichaaa...bwahahaa...le mbebez le mutuz tunakupenda u knw...happy birthday
 

Ingekuwa njema sana kama hayo maswala yenu ya familia mkamalizia hukoo kuja peperusha mchele kwenye njiwa wengi humu haitasaidia nyie vijana hamkuchezwa unyago? Mbona wapana hivi
sii sawaa.
 
- hahahahahahhahahahahaah halafu ukijua itakusaidia nini kwamba nitakufa au nitapungukiwa nini watoto wanasoma kwa hela nilikuwa ninakatwa kwenye mshahara wangu hiyo ni sheria ya kule, pole sana mmejaaa majungu na umbeya hahahahahaha

Le Mutuz

Nilitaka kujua maana wewe ni mtu uliyefanikiwa sana kutokana na kutumia vizuri fursa kama unavyosema. Naweza kuwa inspired u never know.

Ebu nieleweshe huo mshahara uliokuwa unakatwa miaka zaidi ya 8 iliyopita inasomesha vipi watoto sasa hivi? Fees, pocket money etc
 

Aisee huruma sana, hafai kuitwa baba wala kuheshimiwa na watoto kama baba yao. Mtu anayekashifu watu kumbe ana maisha mabovu ata watoto wake kulea ameshindws amebaki kudandia ofa.
 
- Kijana mdogo haya mambo huyajui unajua mambo ya ali kiba na wema sepetu kaa pembeni ngoja nimpe darasa huyu kimama mzeee miaka 51 hahahahahaha anahangaika anadhani JF inaweza kumrudishia ndoa aliyoichezea mwenyewe hahahahahahaha

Le Mutuz

Hahahahahahahaha mkuu umempa kavu zenye ukweli ndani yake ...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…