Happy 58th Birthday babu Le Mutuz

Status
Not open for further replies.
Hahahah Kim nana aliamua kufuta ubabu ikabidi niokoe jahazi......

Halafu mabilionea mbona hawakuwepo kwenye pati??? Wamejaa wajukuu zake wa bongo movies tu au Babu siku hizi anaakti???

Babu nimemshindwaa, namgawa bureee mtu gani hataki kuzeekaa...Yani 58 yote hiyo halafu bado ana kadi ya UVCCM....
 
Last edited by a moderator:
- hahahahaha ok walikataa kumuona bongo halafu majuzi alipokuwa huko wakamfuata kulia shida na wewe una pesa sana vipi wewe mama unajiabisha hapa

Le Mutuz

Sasa mambo ya kutoana nishai kwenye media na mlishare kila kitu mpaka kupata watoto ndio nini? Kwa umri wenu hamtakiwi kufanya haya mambo!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…