Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
Gari lililokuwa limebeba watu waliovalia nguo za njano na kijani (sio yanga) zao zikiwa na nembo ya jembe na nyundo wamekumbana na dhoruba ya zomeazomea mtaa wa kongo na uhuru dsm. Tukio lilodumu kama hadi gari lilipoondoka.