Happening now: CCM wazomewa Dar

Happening now: CCM wazomewa Dar

Mpalakugenda

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
4,649
Reaction score
5,074
Gari lililokuwa limebeba watu waliovalia nguo za njano na kijani (sio yanga) zao zikiwa na nembo ya jembe na nyundo wamekumbana na dhoruba ya zomeazomea mtaa wa kongo na uhuru dsm. Tukio lilodumu kama hadi gari lilipoondoka.
 
Mmeamua kuwaharasse watu mnaotofautiana nao kiitikadi kwa matendo yote mabaya lakini hiyo haitawasaidia ..mwaka huu mmekwisha na hiyo inachochea hasira za ndani, tutawapiga 90%
 
Happening Now, Mwigulu azomewa sana baada ya kuwaita wafuasi wa CDM 'Manyumbu' hapa karatu, kilichotokea hatakisahau katika maisha yake, Ilibidi aondoke na chopa yake,,,,.... Baada ya kuwaita wananchi manyumbu watu tuliamua kuondoka huku tukionyesha Ishara ya mabadiliko...

Note; hapa ndipo kwa Dr Slaa lakini alipuuzwa sana baada ya kununulika..
 
Lazima maana watu wanachukia harufu mbaya ccm inanuka
 
Hii nayo sifa ya UKAWA.kwenye jukwaa hawawezi kusema.sasa wanazomea.wanataka kuchochea mapambano ili wailaumu SEREKALI
 
yNI NIKIONA MTU KAVAA NGUO YA CCM NAONA KAMA KAJINYEA AU KICHAA HIVI ASIEJUA ANATOKA WAPI NA ANAENDA WAPI
 
Ngoja uchaguzi upite kuna watu wataanza kujikomba komba.....msiweke visa vya kutengeneza ipo siku hao mnaowatumia watawaacha uchi.....vitendo vya uvunjifu wa aman visipewe nafasi. Pandeni jukwaani ruksa sio mitaani. Ohoooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom