Hapo ilikuaje kwani?

Hapo ilikuaje kwani?

jamaa baada ya kulewa akiwa katika harakati za kumchapa mtoto, mama alijifanya kumsaidia mwanae lakini jamaa ameamua kuwatundika wote.
 
Jamani katoto kalivyoshikwa! Men like that deserve to rot in jail! Because kilichofuata pale we can all tell ni kipigo tu!
 
Mnisamehe watu wa Musoma lakini huyu baba atakuwa ana asili ya huko!
 
hii picha isha zunguushwa sana humu jamvini. Leta jipya
 
Back
Top Bottom