Uliwahi kuchukiwa na mtu bila sababu..?

Uliwahi kuchukiwa na mtu bila sababu..?

Sikio la muazini

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2026
Posts
248
Reaction score
469
Kichwa kinajieleza hapo
Katika maisha
Unaweza kuishi na watu
Tofauti ila
Miongoni mwa hao watu
Kuna watu
Ambao ni marafiki zako
Wengine
Wakawa adui ndugu n.k

1 SWALI:uliwahi kuchukiwa na mtu bila sababu au unachukiwa bila sababu

2 SWALI:ni zipi sababu za mtu kukuchukia bila sababu yeyote inaweza hata ukawa mgeni eneo flani ila ghafla watu wa pale wakawa na chukia na wewe...!

SHARE:hapa ilikuaje?

NAWASILISHA
 
Ndiyo.

Lakini huwa hakuna chuki isiyo na sababu.

Ni lazima sababu iwepo.

Cha kuchekesha zaidi, ni pale unapochukiwa na mtu ambaye humjui naye hakujui.

Let that sink in….
Chuki binafsi mkuu zipo kuna watu kadhaa niliwahi kupiga nao story unata mtu flani anamchukia ukimuuliza kwa nini amchukie anasema nashangaa tu nalichukia
 
Ndiyo.

Lakini huwa hakuna chuki isiyo na sababu.

Ni lazima sababu iwepo.

Cha kuchekesha zaidi, ni pale unapochukiwa na mtu ambaye humjui naye hakujui.

Let that sink in….
Chuki binafsi mkuu zipo kuna watu kadhaa niliwahi kupiga nao story unata mtu flani anamchukia ukimuuliza kwa nini amchukie anasema nashangaa tu nalichukia
 
Kichwa kinajieleza hapo
Katika maisha
Unaweza kuishi na watu
Tofauti ila
Miongoni mwa hao watu
Kuna watu
Ambao ni marafiki zako
Wengine
Wakawa adui ndugu n.k

1 SWALI:uliwahi kuchukiwa na mtu bila sababu au unachukiwa bila sababu

2 SWALI:ni zipi sababu za mtu kukuchukia bila sababu yeyote inaweza hata ukawa mgeni eneo flani ila ghafla watu wa pale wakawa na chukia na wewe...!

SHARE:hapa ilikuaje?

NAWASILISHA
SABABU lazima iwepo mkuu…… isipokua kwako wewe inaweza isiwe sababu yenye mashiko
 
Ipo na hutokea japo kuna kuwa na sababu usizo zijua ukiitafuta utazikuta tu

Inaweza kuwa chanzo ni mapenzi,biashara, nk
 
Ajabu zaidi unaweza kuchukiwa na mtu ambaye hata hakufahamu vizuri, humjui hakujui na wala hamjawahi kukutana sehemu yoyote, Haya ni maradhi makubwa Sana....
 
Back
Top Bottom