Hizo wametumia vigezo gani wapi oprah winfred, bill gets, na waarabu wa dubai
Dr. Dre ana bajeti ya TZ kwa miaka isiyopungua 10.
Kawadanganye watoto wenzako.. Pesa yake haitoshi hata bajeti ya mwezi mmoja
Reginald Mengi - Chairman, IPP Ltd ($550M)https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/680443-forbes-reginald-mengi-from-barefoot-to-$550million.htmlForbes.1. Dr. Dre ($620 million)2. Beyoncé ($115 million)3. The Eagles ($100 million)4. Bon Jovi ($82 million)5. Bruce Springsteen ($81 million)6. Justin Bieber ($80 million)7. One Direction ($75 million)8. Paul McCarney ($71 million)9. Calvis Harris ($66 million)10. Toby Keith ($65 million)11. Taylor Swift ($64 million)12. Jay Z, Diddy, Bruno Mars ($60 million)15. Justin Timberlake ($57 million)16. Pink ($52 million)17. Michael Bublé ($51 million)18. Rihanna ($48 million)19. The Rolling Stones ($47 million)20. Roger Waters ($46 million)21. Elton John ($45 million)22. Kenny Chesney ($44 million)23. Katy Perry ($40 million)24. Jason Aldean, Jennifer Lopez ($37 million)26. Miley Cyrus, Celine Dion ($36 million)28. Muse, Luke Bryan ($34 million)30. Lady Gaga, Drake ($33 million)
siziamini eti bruno yupo sawa na jay z na dirty money
hiki kichekesho
Hizo wametumia vigezo gani wapi oprah winfred, bill gets, na waarabu wa dubai
Wakuu hapo hamna kitu na nilishamuambia mleta Mada mc luggy kuwa hao ni wanamuziki tu wanachezea kwenye milioni mia wakati miradi fixed asset ni saa yoyote itayeyuka km kina Madonna na Mc Jacksonmc luggy, hayo ni mapato walioingiza 2014 au net worth tokea wameanza hustle?
#1 | Bill Gates | $80.3 B | $1 K | 59 | Microsoft | United States | |
#2 | Warren Buffett | $71.6 B | $0 | 84 | Berkshire Hathaway | United States | |
#3 | Carlos Slim Helu & family | $69.5 B | $96.7 M | -0.1% | 74 | telecom | Mexico | |
#4 | Amancio Ortega | $60 B | $0 | 78 | retail | Spain | |
#5 | Larry Ellison | $50.2 B | $1.1 M | 70 | Oracle | United States | |
#6 | Charles Koch | $40.6 B | $0 | 79 | diversified | United States |
Thanks to the tech boom, and strong stock market, the U.S. once again leads the world with 492 billionaires, followed by China with 152 and Russia with 111. But wealth is spreading to new places. We found billionaires for the first time in Algeria, Lithuania, Tanzania and Uganda. Also for the first time, an African, Aliko Dangote of Nigeria, breaks into the top 25. Worth $25 billion, he moves up 20 spots
Labda kwa kifupi nimueleweshe mc luggy kuwa wanamuziki ni Mamilionea kwa vimuziki vyao
hata kidogo usiwalinganishe na Mwenyekiti wa IPP Bw Mengi au Bw Rugemalila mwenye Mabobo Wine na VIP kwani hapo sijawataa kina Rostam Aziz wa Igunga au Habindr Singh wa Iringa
Tanzania kwa mara ya kwanza tumetoa Billionea aiyewazidi hao Wanamuziki
na kwa mara ya kwanza Afrika tumepata Billionea Dangote kapanda nafasi 20 kwa billioni $20 je hao wanamuziki wa Liabilities kuna hata wa $1bn
sawa Mkuu na mm nimekuelewaHaya mkuu umeeleweka ila sija kubishia wala nn nadhani hujanielewa na mm nilikuwa na maana gani but so ishu pamoja umesomeka mkuu
daah kuna watu wapo deep kinomaHii naikataa ,inamaana 50 cent hana $ 33 mil? , lil Wayne owner wa cash money iliyomtoa Drake juz juz nae hayupo? Where is birdman? , Kanye West? P Diddy mwaka juz aliingiza $ 120 mil ndan ya mwaka mmoja tu , mwaka Jana aliingiza $ 60 mil , hapo sijagusa miaka ya nyuma , unataka kuniambia ana utajiri wa $ 60 mil tu? hahaha Si kweli
si mume wa klynn? mengi naye ni msanii by association!
sawa Mkuu na mm nimekuelewa
ingia basi hii link The World's Billionaires List - Forbes Aliko Dangote ni wa #42 Mabillionea sio Mamilionea
Mengi ana thamani ya $550 million kwa wanamuziki ni wa 2 baada ya Dr Dre mwenye $620