Forbes.
1. Dr. Dre ($620 million)
2. Beyoncé ($115 million)
3. The Eagles ($100 million)
4. Bon Jovi ($82 million)
5. Bruce Springsteen ($81 million)
6. Justin Bieber ($80 million)
7. One Direction ($75 million)
8. Paul McCarney ($71 million)
9. Calvis Harris ($66 million)
10. Toby Keith ($65 million)
11. Taylor Swift ($64 million)
12. Jay Z, Diddy, Bruno Mars ($60 million)
15. Justin Timberlake ($57 million)
16. Pink ($52 million)
17. Michael Bublé ($51 million)
18. Rihanna ($48 million)
19. The Rolling Stones ($47 million)
20. Roger Waters ($46 million)
21. Elton John ($45 million)
22. Kenny Chesney ($44 million)
23. Katy Perry ($40 million)
24. Jason Aldean, Jennifer Lopez ($37 million)
26. Miley Cyrus, Celine Dion ($36 million)
28. Muse, Luke Bryan ($34 million)
30. Lady Gaga, Drake ($33 million)
Hii ni forbes ya kitaani kwenu aiseeee.... Sio hii niijuayo mimi
Bora ya huyu nyumba inamshinda kumaliza.kuna jirani yetu hata hela ya video ya Mwana hana ndio yupo kwenye process ya kuomba Mkopo NMB
siziamini eti bruno yupo sawa na jay z na dirty money
hiki kichekesho
Nyumba tu inamshinda kumaliza ataweza kuongia apo
Watu wana badilika kupanda na kushuka
Hazizungumziwi album zinazungumziwa pesa
Hizo wametumia vigezo gani wapi oprah winfred, bill gets, na waarabu wa dubai
Hahah eti justine bieber kamzidi hela pdidy&jay-z Hahah!!uongo mtupu!ptuuuu
Hii naikataa ,inamaana 50 cent hana $ 33 mil? , lil Wayne owner wa cash money iliyomtoa Drake juz juz nae hayupo? Where is birdman? , Kanye West? P Diddy mwaka juz aliingiza $ 120 mil ndan ya mwaka mmoja tu , mwaka Jana aliingiza $ 60 mil , hapo sijagusa miaka ya nyuma , unataka kuniambia ana utajiri wa $ 60 mil tu? hahaha Si kweli
Hivi ni lazima Diamond akitajwa basi nae Kiba atajwe?
After all kuna ubaya gani mtu kukopa?
kwahyo ukikopa tu unakua masikini?
Mbona Mengi ana mkopo pale Nbc wakat mimi sina mkopo,ina maanaisha mimi ni tajir zaid ya mengi?