kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 367
- 679
Habarini humu jamvini. Natumai mu wazima kabisah .
Nirudi kwenye mada , ni hivi Nina manzi angu moja hivi ambayo kidogo inanishangaza.!
Yani yeye swala kumwambiya sina kwa chochote anachoomba limekuwa tatizo(shida) kwa upande wake.
Kwa upande wake anaona bora nimdanganye yani kuliko kumwambia kwa sasa unachokiomba Mimi sinah.! Sasa kwa jinsi ambavyo nilivyo ni bora tu nimwambie mwanamke sina kuepuka usumbufu kuliko nimuahidi ahadi ambayo najua ya uongo.!
Sasa me nimemjibu tu si unataka kudanganywa bas hamna shida .sasa atakoma kwenye uongo ndo kafika mahala pake..!
NB; mda mwingine tunaamuaga kuwa wema , msitulazimishe kutenda dhambi.
Nirudi kwenye mada , ni hivi Nina manzi angu moja hivi ambayo kidogo inanishangaza.!
Yani yeye swala kumwambiya sina kwa chochote anachoomba limekuwa tatizo(shida) kwa upande wake.
Kwa upande wake anaona bora nimdanganye yani kuliko kumwambia kwa sasa unachokiomba Mimi sinah.! Sasa kwa jinsi ambavyo nilivyo ni bora tu nimwambie mwanamke sina kuepuka usumbufu kuliko nimuahidi ahadi ambayo najua ya uongo.!
Sasa me nimemjibu tu si unataka kudanganywa bas hamna shida .sasa atakoma kwenye uongo ndo kafika mahala pake..!
NB; mda mwingine tunaamuaga kuwa wema , msitulazimishe kutenda dhambi.