Hapana chezea ardhi na kozi za kigumu

Hapana chezea ardhi na kozi za kigumu

sasa mshaharaa wa quantity surveyor utafananishaa na huo wa real estate! Alafu co wote wanaotaka kuajiriwaa ndugu wengine wana uwezo wa kujiajiri.! So ndugu uciwe na mawazo hasi kwa wenzako..!
NB; ARDHI ULIHAMIA NINI COZ KUNA THREAD MOJA HUKO NYUMA ULICHANGIA KWAMBA UMESOMA UDSM., NASHINDWA KUI-ATTACH HAPA COZ NATUMIA CIMU.! SO MKUU FAFANUA KIDOGO..! MWANA ARU MWENZANGU

Kipindi ambacho naanza chuo hakukuwa na Ardhi, kulikuwa na UCLAS - UDSM, na wengi wetu tulikuwa tukiishi mabibo hostel pamoja na wanafanzi wa MUCHS kwa sasa MUHAS. Nadhani hapa umenielewa.

Kuhusu Real estate, ndio maana nimesema ni vyema kuuliza ili ujifunze uwe nondo kuliko ku-speculate mambo.

Real estate inahusisha taaluma zote za ardhi, yani kila taaluma ipo humo (kasoro BAF). Unaposema real estate una maanisha uwekezaji kwenye ardhi (yaani kuendeleza ardhi kutoka kwenye utupu na kuiwekea jengo).

Kabla ujenzi haujafanyika, ni lazima tafiti ifanyike ili kujua kama ujenzi huo ni potential na una tija (kama ni kwa ajili ya "property investment"). Kazi ambazo hufanywa na mashirika ya kijamii yote nchini, Wakala wa ujenzi wa serikali TBA, makampuni binafsi pamoja na shirika la nyumba la taifa NHC. Hawa wote wana jenga kwa ajili ya kupata faida kutokana na ujenzi huo (Propepty investment).

Ni nani anaefanya tafiti na kupendekeza kuwa mradi utalipa?, si mwingine, bali ni Real estate investment analyst (uwa tunaitwa consultants), na tafiti zetu uitwa Feasibility Studies. Hivyo uchambuzi wote wa jinsi jengo linalo tarajiwa kujengwa upo humo kwenye feasibility study. Gharama za kufanya utafiti utolewa na client, sisi ni kula pesa tu.

Wapi anakuja QS?

QS anakuja pale ambapo gharama halisi za ujenzi zinapo hitajika (bill of quantities), na hii ina msaada kwa client kwani ma-contractor uwa wanazidisha gharama za ujenzi, hivyo hawa QS ni muhimu ku-verify costs kama ni za kweli au zimezidishwa, huku uwa wanalipwa 10% of the construction costs ambayo ina mjumlisha yeye QS, ENGINEER na ARCHTECT au kwa pamoja tunaita professional fees.

Hivyo, kuhusu nani anakula pesa, nadhani jibu utakuwa umepata, feasibility study ni tafiti (minimum it consumes 7 days, hivyo hizo per diem zake ni kula kuku tu). Kijana, suala la mkwanja usiliseme kabisaaa, unajua kwanini nimejipa jina la Billion?! Sio show off.
 
mkuu basi acha mimi nikuulize upo mwaka wa ngapi...? chuo gani...? faculty gani..? ushawaelimisha first year wangapi mpaka sasa...? me nauliza tu ambavyo umetuagiza.

Ngoja nikuagize uzime kifaa chako unacho tumia ku-access JF, naamini ume-comply?
 
Kipindi ambacho naanza chuo hakukuwa na Ardhi, kulikuwa na UCLAS - UDSM, na wengi wetu tulikuwa tukiishi mabibo hostel pamoja na wanafanzi wa MUCHS kwa sasa MUHAS. Nadhani hapa umenielewa.

Kuhusu Real estate, ndio maana nimesema ni vyema kuuliza ili ujifunze uwe nondo kuliko ku-speculate mambo.

Real estate inahusisha taaluma zote za ardhi, yani kila taaluma ipo humo (kasoro BAF). Unaposema real estate una maanisha uwekezaji kwenye ardhi (yaani kuendeleza ardhi kutoka kwenye utupu na kuiwekea jengo).

Kabla ujenzi haujafanyika, ni lazima tafiti ifanyike ili kujua kama ujenzi huo ni potential na una tija (kama ni kwa ajili ya "property investment"). Kazi ambazo hufanywa na mashirika ya kijamii yote nchini, Wakala wa ujenzi wa serikali TBA, makampuni binafsi pamoja na shirika la nyumba la taifa NHC. Hawa wote wana jenga kwa ajili ya kupata faida kutokana na ujenzi huo (Propepty investment).

Ni nani anaefanya tafiti na kupendekeza kuwa mradi utalipa?, si mwingine, bali ni Real estate investment analyst (uwa tunaitwa consultants), na tafiti zetu uitwa Feasibility Studies. Hivyo uchambuzi wote wa jinsi jengo linalo tarajiwa kujengwa upo humo kwenye feasibility study. Gharama za kufanya utafiti utolewa na client, sisi ni kula pesa tu.

Wapi anakuja QS?

QS anakuja pale ambapo gharama halisi za ujenzi zinapo hitajika (bill of quantities), na hii ina msaada kwa client kwani ma-contractor uwa wanazidisha gharama za ujenzi, hivyo hawa QS ni muhimu ku-verify costs kama ni za kweli au zimezidishwa, huku uwa wanalipwa 10% of the construction costs ambayo ina mjumlisha yeye QS, ENGINEER na ARCHTECT au kwa pamoja tunaita professional fees.

Hivyo, kuhusu nani anakula pesa, nadhani jibu utakuwa umepata, feasibility study ni tafiti (minimum it consumes 7 days, hivyo hizo per diem zake ni kula kuku tu). Kijana, suala la mkwanja usiliseme kabisaaa, unajua kwanini nimejipa jina la Billion?! Sio show off.

kwanza niweke sawa kidogo we umeanza chuo 2007 na ardhi imeanza kujitegemea march 2007..so vp kuhusu hiyo udsm !? Kingine mkuu kuhusu mkwanja always quantity surveyor yupo juu coz kama ulivyosema e.g mradi wa milion 800 je 10% ya hiyo pesa ni kiasi gan? ambayo wanagawana quantity surveyor, archtecture, engineer! Pia hata kazi ya u-consultant anawezaa kufanyaa! Pia real estate nimesoma course unit zake kupitia prospectus ya ardhi ni za kawaida zinazidiwa na hata za wale wa SURP..! Kingine usilinganishe QUANTITY SURVEYOR,ARCHITECTURE,ENGENIER na hiyo real estate yako coz tunapoelekeaa huko kazi zako zote watu watatu hapo juu wanazifanyaa, so hauna umuhimu kiviilee..!
NB:kujiita billion co kigezo cha kuwa na ela coz hata mimi huku kitaani kwetu tabata najulikana kwa jina la tilionea..!


Nakaribisha fact kama unazoo
 
Last edited by a moderator:
kwanza niweke sawa kidogo we umeanza chuo 2007 na ardhi imeanza kujitegemea march 2007..so vp kuhusu hiyo udsm !? Kingine mkuu kuhusu mkwanja always quantity surveyor yupo juu coz kama ulivyosema e.g mradi wa milion 800 je 10% ya hiyo pesa ni kiasi gan? ambayo wanagawana quantity surveyor, archtecture, engineer! Pia hata kazi ya u-consultant anawezaa kufanyaa! Pia real estate nimesoma course unit zake kupitia prospectus ya ardhi ni za kawaida zinazidiwa na hata za wale wa SURP..! Kingine usilinganishe QUANTITY SURVEYOR,ARCHITECTURE,ENGENIER na hiyo real estate yako coz tunapoelekeaa huko kazi zako zote watu watatu hapo juu wanazifanyaa, so hauna umuhimu kiviilee..!
NB:kujiita billion co kigezo cha kuwa na ela coz hata mimi huku kitaani kwetu tabata najulikana kwa jina la tilionea..!


Nakaribisha fact kama unazoo

Kijana naona huelewi vitu vingi sana na mbaya zaidi ni mgumu kuelewa hata jitihada ya kukuelewesha inapotumika. Ingekuwa vyema ukaweka point zako hapa ulizopata kidato cha sita, maana inaelekea siku hizi div 3 zinaanza kujaa ARU, hii ni ishara ya chuo kujazwa vilaza wakati enzi zetu Div 3 una wakuta GM na URP tu. Huko SCEM, SRES, SADE na SEST walikuwa watu waelewa na wazuri kwenye uchambuzi wa mambo, ila kwa hali ya sasa, HAKUNA KITU.

Kuhusu suala la UCLAS nadhani sio la muhimu sana kujadili, ila kama ambavyo nimekueleza, nimeanza chuo kikiwa kinaitwa UCLAS na usajili tuliufanya kikiwa kinaitwa UCLAS na hata mitihani ya UE ilikuwa ikiitwa hivyo, jina ARU limeanza rasmi 2008.

Kuhusu idadi ya module (course), nadhani hapa ndio umeonyesha umbumbumbu wako, kama kweli ugumu na ukali wa taaluma unakuwa determined na wingi wa course, hemu nenda kaangalie hiyo prospectus kwa taaluma kama Archtecture, kwa muhula wana idadi ngapi ya course?, je, unafahamu mzigo wanao upiga watu wa SADE?, bila shaka hujui. Idadi ya course haina mahusiano na ugumu wa taaluma, kuna taaluma zina module nne tu kwa muhula ila huo mtiti wake sio mchezo. Mfano Computer engineering ya pale UD (mwaka wa 3 na 4) course zipo mpaka nne, ila nature ya hii taaluma ni ngumu. BTW, course unit ni bullshit na aina maana yoyote. Isikuchanganye dogo.

Umekuja tena kudakia suala la mshahara, nimesema hapa ofisini uwa wanalipwa 10% ya total development cost (ni average) kama professional fees, na hapo hapo hiyo fedha ina gharimu baadhi ya gharama ambazo hawa waalamu watazipata kwenye utoaji wa ushauri wao, hivyo hiyo 10% sio net income, bali ni gross income. Lakini uelewe kuwa hiyo pesa ni ya kampuni, na sio kila kipato kinachoingia kwenye kampuni ufanywa ni ulaji.

Jambo lingine, kazi za real estate investment analysis sio sawa na ubar maid kwamba kila demu ataweza kufanya, ni utaalamu. Hivyo hilo jina "consultant" lisikuchanganye, ni neno ambalo tafsiri yake ni "mshauri", kwa hiyo kila mtu anatoa ushauri kwa mujibu wa taaluma yake, sasa wenda sijakuelewa ulivyosema hata QS na hao wengine yaani (engineer & archtect) wanaweza kufanya kazi zangu, labda unifafanulie ulikuwa ukimaanisha nini?

Nirudie tena - ni vyema kuuliza kuliko kuendeleza league, watu tupo kwenye soko, tuna madini na tupo tayari kuwaelimisha ni nini kinafanyika huku mitaani (kwenye soko la ajira), maana hapo awali nimesema; course zote za Ardhi zipo-related, how do they relate?, hayo ndio mambo ya kuuliza hapa ili mjifunze instead ya kuendeleza ubishi.
 
Last edited by a moderator:
Kijana naona huelewi vitu vingi sana na mbaya zaidi ni mgumu kuelewa hata jitihada ya kukuelewesha inapotumika. Ingekuwa vyema ukaweka point zako hapa ulizopata kidato cha sita, maana inaelekea siku hizi div 3 zinaanza kujaa ARU, hii ni ishara ya chuo kujazwa vilaza wakati enzi zetu Div 3 una wakuta GM na URP tu. Huko SCEM, SRES, SADE na SEST walikuwa watu waelewa na wazuri kwenye uchambuzi wa mambo, ila kwa hali ya sasa, HAKUNA KITU.

Kuhusu suala la UCLAS nadhani sio la muhimu sana kujadili, ila kama ambavyo nimekueleza, nimeanza chuo kikiwa kinaitwa UCLAS na usajili tuliufanya kikiwa kinaitwa UCLAS na hata mitihani ya UE ilikuwa ikiitwa hivyo, jina ARU limeanza rasmi 2008.

Kuhusu idadi ya module (course), nadhani hapa ndio umeonyesha umbumbumbu wako, kama kweli ugumu na ukali wa taaluma unakuwa determined na wingi wa course, hemu nenda kaangalie hiyo prospectus kwa taaluma kama Archtecture, kwa muhula wana idadi ngapi ya course?, je, unafahamu mzigo wanao upiga watu wa SADE?, bila shaka hujui. Idadi ya course haina mahusiano na ugumu wa taaluma, kuna taaluma zina module nne tu kwa muhula ila huo mtiti wake sio mchezo. Mfano Computer engineering ya pale UD (mwaka wa 3 na 4) course zipo mpaka nne, ila nature ya hii taaluma ni ngumu.

Umekuja tena kudakia suala la mshahara, nimesema hapa ofisini uwa wanalipwa 10% ya total development cost (ni average) kama professional fees, na hapo hapo hiyo fedha ina gharimu baadhi ya gharama ambazo hawa waalamu watazipata kwenye utoaji wa ushauri wao, hivyo hiyo 10% sio net income, bali ni gross income. Lakini uelewe kuwa hiyo pesa ni ya kampuni, na sio kila kipato kinachoingia kwenye kampuni ufanywa ni ulaji.

Jambo lingine, kazi za real estate investment analysis sio sawa na ubar maid kwamba kila demu ataweza kufanya, ni utaalamu. Hivyo hilo jina "consultant" lisikuchanganye, ni neno ambalo tafsiri yake ni "mshauri", kwa hiyo kila mtu anatoa ushauri kwa mujibu wa taaluma yake, sasa wenda sijakuelewa ulivyosema hata QS na hao wengine yaani (engineer na archtect) &anaweza kufanya kazi zangu, labda unifafanulie ulikuwa ukimaanisha nini?

nimekuona unaelekea shimonii wewe mwenyewe unapingana na comment zako zilizopitaa..! By the way course unit ndo zinazomuandaa mtuu kuwa mzuri na kufanya kazi flan kutokanaa na unit alizosoma miaka yote ya masomo, pia jamaa unaonekanaa unaubishi wa asili na ni mkorofii sanaa.!
NB: kejeli na mimi naziwezaa , naomba unijibu kati ya SRES na SURP nani wapo marketable zaidi sema ukweli? Kuhusu SCEM,SADE,SEST hawa tuwaache maana wamekuachaa mbali sanaa
onyO: citaki malumbano toa hojaa
 
Last edited by a moderator:
hayaa naomba nisaidiwe kuhu soko laajira la geoinformatics na geomatcs na kiasi cha mshaara ambao inawezekana kupewa
 
nimekuona unaelekea shimonii wewe mwenyewe unapingana na comment zako zilizopitaa..! By the way course unit ndo zinazomuandaa mtuu kuwa mzuri na kufanya kazi flan kutokanaa na unit alizosoma miaka yote ya masomo, pia jamaa unaonekanaa unaubishi wa asili na ni mkorofii sanaa.!
NB: kejeli na mimi naziwezaa , naomba unijibu kati ya SRES na SURP nani wapo marketable zaidi sema ukweli? Kuhusu SCEM,SADE,SEST hawa tuwaache maana wamekuachaa mbali sanaa
onyO: citaki malumbano toa hojaa

SRES wapo marketable zaidi, sio tu kwa SURP, bali kwa taaluma zote za ARU.
 
Last edited by a moderator:
mkuu acha wivu ongea ukweli kati ya SRES na (SCEM,SADE.).nani marketable..!

Nilitarajia utataka nikupe uchambuzi wa kwanini nimefiki hitimisho/jibu hilo, ila nimeshangazwa na kuona unaniambia niache wivu. Hivi wewe si ni mwaka wa kwanza mtarajiwa?, jaribu kujiandaa kisaikolojia na kuwa kama mtu unae stahili kujiunga chuo kikuu. Hayo maneno ya "acha wivu" tuwaachie watoto wa O-LEVEL, wewe hupaswi kuyatumia hayo. Wewe unapaswa u-demand FACT, na sio ufanye mipasho.
 
Nilitarajia utataka nikupe uchambuzi wa kwanini nimefiki hitimisho/jibu hilo, ila nimeshangazwa na kuona unaniambia niache wivu. Hivi wewe si ni mwaka wa kwanza mtarajiwa?, jaribu kujiandaa kisaikolojia na kuwa kama mtu unae stahili kujiunga chuo kikuu. Hayo maneno ya "acha wivu" tuwaachie watoto wa O-LEVEL, wewe hupaswi kuyatumia hayo. Wewe unapaswa u-demand FACT, na sio ufanye mipasho.

mkuu hunafact ya kuelezea hapo nikakuelewa coz unaonekana una-base sana kwenye real estate yako ambayo kazi zake ni za manati ukilinganisha na civil engenier, quantity surveyor, architecture, planner i.e town planner..! Pia hata kwenye kujiajiri scem,surp,sade ni bora kuliko hiyo ya kwako.! So fact gani ambayo unayo wewe..! We msomi bwana penye ukweli sema ukweli acha ubabaishaji..!

onyo; hamna anayeimba taarabu hapa , so be care
 
Last edited by a moderator:
mkuu hunafact ya kuelezea hapo nikakuelewa coz unaonekana una-base sana kwenye real estate yako ambayo kazi zake ni za manati ukilinganisha na civil engenier, quantity surveyor, architecture, planner i.e town planner..! Pia hata kwenye kujiajiri scem,surp,sade ni bora kuliko hiyo ya kwako.! So fact gani ambayo unayo wewe..! We msomi bwana penye ukweli sema ukweli acha ubabaishaji..!

onyo; hamna anayeimba taarabu hapa , so be care

Hayo maneno yote ungeyaweka kwenye maneno haya - TOA FACT. Ila kwa kuwa unaendekeza UNDEZI, ngoja nikuache, utafika ARU, utajua ni nini nasema.
 
Last edited by a moderator:
Hayo maneno yote ungeyaweka kwenye maneno haya - TOA FACT. Ila kwa kuwa unaendekeza UNDEZI, ngoja nikuache, utafika ARU, utajua ni nini nasema.

sawa we kejeli tuu, ila ukweli unao moyoni...!! Overr
 
asante kaka. hivi uko mwaka wangapi, nikija nikutafute unipe madesa?
Una uhakika building economics inapitaka Ardhi na Nairobi pekee, kwa east africa?

niko mwaka wa nne ... Ndugu ni ukwl mtupu ni ardhi n nairobi 2
 
Vijana wengi tu walio hitimu Ardhi university wapo huku mitaani wanafanya shughuli zingine kabisa nje ya taaluma zao; hii ina maanisha suala la ajira limewaathiri mpaka wao.

Kama ilivyo ada, ni kawaida sana kwa vijana wa mwaka wa kwanza kuamua kudanganyana kuhusu taaluma. Ila niwapeni angalizo tu; ni vyema mtumie muda wenu humu JF kuuliza ili mjue kuliko huu UPUUZI wa kuendelea kupotoshana.

Kumbuka: JF is the HOME of Great Thinkers, umepata fursa ya kujifunza, ULIZA.

waliitmu lakn hawakufaulu vizur....
 
Safi sana wakuu wangu, na respect sana elimu ya ardhi. Kuna siku nilikuja pale nikakuta mademu wagumu hao kila mda wako na scientific calculator zao wanasolve tu. Ila hata hivo wakuu tusaidiane kama sisi tuliomaliza vyuo tukipata mashavu basi michakato ya ma ramani na vitu vinavyohusiana na ujenzi mtufanyie kisela au vp?

pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom