Hapa wanatafuta nini kingine? 😅

Hapa wanatafuta nini kingine? 😅

Waufukweni, swali lako limenichekesha sana! 😂 Hapo sasa ndio utata unapoanzia kabisa. ila wao hawatokosa jibu,
 
Waufukweni, swali lako limenichekesha sana! 😂 Hapo sasa ndio utata unapoanzia kabisa. ila wao hawatokosa jibu,
😅😅 kwani tumezoea kukaguliwa silaha, na vitu vingine ambavyo unaweza kutumia kujeruhi watu lakini naona wanapita nazo tu
 
Itakuwa mabomu hayaruhusiwi hapo ila bunduki hamna shida
 
Back
Top Bottom