Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 14,883
- 27,879
Nashangaa Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Simai Saidi akimwaga sumu zake kuwa kuna Yuda, ametumia kauli "wanachotaka Watanzania na Wazanzibar" na hakuna mbunge hata mmoja alieomba mwongozo toka kwa spika.
Hivi hawa watu wanatafuta nini lakini? Wee haya, mnachokitafuta kuna siku mtakipata na mtalia na kusaga meno, tutakapowapa mnachokitafuta, Tanzania na Zanzibari.
Unajua kuna watu wangapi nyuma ya yeyote huyo unaemuita Yuda? Kama Yuda ni wa Tanzania, inakuhusu nini wewe Mzanzibari? Aliekutuma kuwasemea Watanzania ni nani? Ukiona shida kuwepo na Yuda Tanzania rudi kwenu Zanzibar usituletee wendawazimu Tanzania.
Hata mbunge Shabibu anataka kuwa raisi wa Tanzania, sio Zanzibar, kwa hiyo haikuhusu.
Hivi hawa watu wanatafuta nini lakini? Wee haya, mnachokitafuta kuna siku mtakipata na mtalia na kusaga meno, tutakapowapa mnachokitafuta, Tanzania na Zanzibari.
Unajua kuna watu wangapi nyuma ya yeyote huyo unaemuita Yuda? Kama Yuda ni wa Tanzania, inakuhusu nini wewe Mzanzibari? Aliekutuma kuwasemea Watanzania ni nani? Ukiona shida kuwepo na Yuda Tanzania rudi kwenu Zanzibar usituletee wendawazimu Tanzania.
Hata mbunge Shabibu anataka kuwa raisi wa Tanzania, sio Zanzibar, kwa hiyo haikuhusu.