Bush stars waliwahi kuingia na magongo uwanjani baada ya kuchezewa rafu na refa kuwabeba tim pinzani.Bila kumsahau Mapungo striker wa Bush stars
Halafu mechi zao karibu zote dakika za mwisho/majeruhi lazima goli lifungweBush stars waliwahi kuingia na magongo uwanjani baada ya kuchezewa rafu na refa kuwabeba tim pinzani.
Siku moja mapungo aliingia ulingoni kwenye ngumi akamtia mtu kabari ya miguu kwenye shingo
Wasukuma hawana tumiili twa hivyo. Hata sura zinaonesha kabisa kuwa hao ni wachaga
Wasukuma bhana
mkuu umeua
Mapenzi ya Kisukuma
FixHahahaha huyu mtu Ni hatariView attachment 438768