Hapa vipi?

Bila kumsahau Mapungo striker wa Bush stars
Bush stars waliwahi kuingia na magongo uwanjani baada ya kuchezewa rafu na refa kuwabeba tim pinzani.

Siku moja mapungo aliingia ulingoni kwenye ngumi akamtia mtu kabari ya miguu kwenye shingo
 
Bush stars waliwahi kuingia na magongo uwanjani baada ya kuchezewa rafu na refa kuwabeba tim pinzani.

Siku moja mapungo aliingia ulingoni kwenye ngumi akamtia mtu kabari ya miguu kwenye shingo
Halafu mechi zao karibu zote dakika za mwisho/majeruhi lazima goli lifungwe
Duh umenikumbusha mbali kipa wao alikuwa ni Madenge au Mzee Meko?
 
d884d2ef0b08548571e1fce052202d9c.jpg

Wasukuma bhana
 
Back
Top Bottom