Yaani mshikaji kaharibu anavyoongea utafikiriwanaishi nyumba mojaHahaaaa

Ila huyu andunje Walah atanipasua mbavu
Huyo jamaa kwenye Avatar yako si ndo alikua anajiita Side mnyamwezi au sio yeye??
Ok at that time nilikua sijajua kutofautisha hawa characters wanatoka kampuni zipi mpaka leo najua Sani tuAnaitwa BANDIDU mkuu anapatikana kwenye jarida la Gumzo la Marco Tibasima
Hilo tako jeupe safi hata chakula kilichochakatwa nalo nakula tuUbunifu![]()
![]()
![]()
![]()
Lodilofa
![]()
![]()
![]()
Visa vya Kikopo
![]()
Jaribu uharibu
![]()
Njaa kweli mbaya
![]()
Vicheche kazeni macho