Uliwaza nini....Wa Kwanza kutoka kushoto ni
Baba, mtoto na Mama.
Kushoto Kwa mama ni mwalimu wa darasa na mwenye fimbo ni Mw. Mkuu shule ya msingi (sijui).kushoto Kwa mwalimu ni mjomba wa mwanafunzi.
Hicho ni kikao.
Mada: upotevu wa ada ya shule.
Nani kapoteza? Mi chijui.
"Superiority complex" ukiimaster hii soja wanaeza kusindikiza hata mpaka nyumbani. Jst know they are world.