Jalibu Kuliamini hili jina la bwana yesu hakika utafanikiwa.nimelelewa kwenye imani ya kikatoriki lakini baada ya wazazi kufariki ukweli nilianguka na kuacha kabisa kusali.
Nugu mgiriki nimesema sijawahi zungumza kuhusu mali hata siku moja yaan hata kukanyaga tu nyumbani ilikuwa ni lazima kuwe na ishu kubwa sana nilimwachia kila kitu ila tatizo lilianza pale tu alipoolewa na huyu mgangaNaww unakomalia mali za urithi wakat ulikuwa na kazi yako, muone mshana jr ndio kiboko yao
Lkn baba mwenyewe si ameshatangulia mbele ya haki? Kama yeye hakukukataa mtu mwingine tu atamwakilishaje?kaka sijamdhulum chochote yaan mi nlikuwa msaada mkubwa kwake wakati nasoma boom langu ndilo lilikuwa linaendesha maisha yake na yaangu mpaka pale mahakama ilipoidhinisha usimamizi wa mirathi uwe kwake ndipo alipoanza hizo fujo na huwa anasema mimi si mtoto wa yule baba hivyo sina haki ya chochote,hilo la mali mimi sikujihusisha nalo maana nilikuwa natafuta zangu na nilifanikiwa ila mzozo ulipanda kwa kuambiwa si wa baba yake....pia shemeji ndo anachochea ili apate kuzitumia pesa hizo
Ihabari ya kazi wakuu!,
mimi ni mvulana wa miaka 31 na nimehitim degree ya uhasibu mwaka 2011. Mwaka huo huo nlipata kazi kwenye kampuni binafsi na maisha yakawa yanaenda vema tu mpaka mwaka 2014 mwezi wa 3 ndipo maisha yakabadilika nakuwa hayaeleweke....
ni kwamba mwaka 2012 nliingia katika ugomvi na dada angu wa baba na mama mmoja tukuzozana juu ya mali za urithi wa wazazi wetu. Dada alinipigia simu na kuahidi kuwa atanikomesha na shemeji yan mume wa dada akasisitiza lazima niwajue (ieleweke shemeji ni nmganga wa kienyeji) basi siku chache nikafukuzwa kazi bila sababu za msingi,nkapata kazi tena lkn nikafukuzwa pia na matatizo yakawa yanaendelea yan watu wananichukia bila sababu mara ugomvi na mke wangu hauishi tena usio na kichwa wala miguu,ndoto za ajabu ajabu hasa kuota napigana na watu nisiowajua au nawajua,kila nachofanya hakifanikiwi hata kama ntakuwa makini sana,hvi sasa sina muelekeo wa maisha na kila kitu hovyo kabisa.....
Je naweza nisaidiwa vp kujiondoa ktk janga hili?,kuna uwezekano kwel mtu akavuruga mipango yako kimazingara?
31 mvulanafuata ushauri wa MAOMBI HASA YA ALIEKUPA MAANDIKO. Utamsaidia hata huyo dada yako. sasa anakuchukia ila baadae atakupigia magoti. huyo mganga ndie anazitaka hizo MALI. Baadae atakuja kumvuruga huyo dadako. USHAURI WANGU fuatilia maombi ya huyo aliekupa maandiko ya bible. mPM akuelekeze. MALI ZA URITHI KILICHO HaKI YAKO USIACHE NA HAKUNA KITAKACHOKUDHURU. MAMBO YAKO YATANYOKA NA MBINU ZA SHEMEJI ZITAYEYUKA. NGUVU ZA MUNGU ZITATEKETEZA UCHAWI WOTE WA HUYO MGANGA na akijifanya jeuri atakufa. KUWA NA MSIMAMO. WENGI WAnashindwa kwa kutosimamia maandiko na MAFUNDISHO. Na hutatumia pesa kwa njia hii. ni juu yako kumrudishia sadaka ya shukrani Mungu kwa yale makuu aliokutendea hapo yatakapokwisha. Utatuletea mlejesho humu. Chukua hatua sasa!Nugu UTAMSAIDIAmgiriki nimesema sijawahi zungumza kuhusu mali hata siku moja yaan hata kukanyaga tu nyumbani ilikuwa ni lazima kuwe na ishu kubwa sana nilimwachia kila kitu ila tatizo lilianza pale tu alipoolewa na huyu mganga
Kwenda kwa mganga ni Ushauri wa kiPUMBAVU kabisa!....Tangu lini shetani akawa na uwezo wakumtoa Shetani mwenzie....Wewe ndg mleta mada kwa wote walioharibikiwa Mtegemeeni MUNGU nyakati zote sio mkiwa vzr mnajifanya wajuaji mkipigika mnamtafuta MUNGU....umesema ulikuwa unasali badae ukaacha huenda kipindi ulichokuwa njema....Nakushauri msaada wa kweli unapatikana kwa MUNGU wakweli tu sio yule wa KUSHONA chakufanya nikutafuta Mafundisho sahihi ya MUNGU jifunze BIBLIA Maneno ya MUNGU yakae kinywani mwako....Kitu kikubwa ni TOBA na kusamehe MATHAYO 6:14....soma pia MITHALI 4:23...Moyo wako ukiwa na Kinyongo na Mtu hakuna kitu utafanikiwa kitu kingine mpaka hapo ulipo uko kwenye Ufalme wa Giza so kujitoa humo inatakiwa kufanya Maombi ya VITA kwa kumaanisha...kwakuwa unamtafuta MUNGU wakati umechapika na MUNGU hata kujibu kurahisi so inatakiwa upambane kwelikweli...MUNGU hatakuacha....Halafu sijui kwanini hizi mada zinakuwa zinajirudiarudia humuUchawi huo utakusumbua maana anae kuloga ni ndugu yako wa damu halafu mumewe yaani shemejio ndio mpiga ramli kwahyo mzee huchomoki cha kufanya nenda kwa mkali zaidi yao yote yataisha hayo.
mshana jr ndo mkali zaidi yaomkali zaidi yao anapatikana wapi
mkali zaidi yao anapatikana wapi