Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,643
Habari ya kazi wakuu!,
Mimi ni kijana wa miaka 31 na nimehitimu degree ya uhasibu mwaka 2011. Mwaka huo huo nlipata kazi kwenye kampuni binafsi na maisha yakawa yanaenda vema tu mpaka mwaka 2014 mwezi wa 3 ndipo maisha yakabadilika nakuwa hayaeleweke.
Ni kwamba mwaka 2012 niliingia katika ugomvi na dada angu wa baba na mama mmoja tukazozana juu ya mali za urithi wa wazazi wetu. Dada alinipigia simu na kuahidi kuwa atanikomesha na shemeji yani mume wa dada akasisitiza lazima niwajue (ieleweke shemeji ni nmganga wa kienyeji) basi siku chache nikafukuzwa kazi bila sababu za msingi,nikapata kazi tena lkn nikafukuzwa pia na matatizo yakawa yanaendelea yani watu wananichukia bila sababu mara ugomvi na mke wangu hauishi tena usio na kichwa wala miguu,ndoto za ajabu ajabu hasa kuota napigana na watu nisiowajua au nawajua,kila nachofanya hakifanikiwi hata kama nitakuwa makini sana,hivi sasa sina muelekeo wa maisha na kila kitu hovyo kabisa...
Je, naweza nisaidiwa vipi kujiondoa ktk janga hili?,kuna uwezekano kweli mtu akavuruga mipango yako kimazingara?
Mimi ni kijana wa miaka 31 na nimehitimu degree ya uhasibu mwaka 2011. Mwaka huo huo nlipata kazi kwenye kampuni binafsi na maisha yakawa yanaenda vema tu mpaka mwaka 2014 mwezi wa 3 ndipo maisha yakabadilika nakuwa hayaeleweke.
Ni kwamba mwaka 2012 niliingia katika ugomvi na dada angu wa baba na mama mmoja tukazozana juu ya mali za urithi wa wazazi wetu. Dada alinipigia simu na kuahidi kuwa atanikomesha na shemeji yani mume wa dada akasisitiza lazima niwajue (ieleweke shemeji ni nmganga wa kienyeji) basi siku chache nikafukuzwa kazi bila sababu za msingi,nikapata kazi tena lkn nikafukuzwa pia na matatizo yakawa yanaendelea yani watu wananichukia bila sababu mara ugomvi na mke wangu hauishi tena usio na kichwa wala miguu,ndoto za ajabu ajabu hasa kuota napigana na watu nisiowajua au nawajua,kila nachofanya hakifanikiwi hata kama nitakuwa makini sana,hivi sasa sina muelekeo wa maisha na kila kitu hovyo kabisa...
Je, naweza nisaidiwa vipi kujiondoa ktk janga hili?,kuna uwezekano kweli mtu akavuruga mipango yako kimazingara?