Hapa uchawi unahusika?

Kajole

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
1,668
1,643
Habari ya kazi wakuu!,

Mimi ni kijana wa miaka 31 na nimehitimu degree ya uhasibu mwaka 2011. Mwaka huo huo nlipata kazi kwenye kampuni binafsi na maisha yakawa yanaenda vema tu mpaka mwaka 2014 mwezi wa 3 ndipo maisha yakabadilika nakuwa hayaeleweke.

Ni kwamba mwaka 2012 niliingia katika ugomvi na dada angu wa baba na mama mmoja tukazozana juu ya mali za urithi wa wazazi wetu. Dada alinipigia simu na kuahidi kuwa atanikomesha na shemeji yani mume wa dada akasisitiza lazima niwajue (ieleweke shemeji ni nmganga wa kienyeji) basi siku chache nikafukuzwa kazi bila sababu za msingi,nikapata kazi tena lkn nikafukuzwa pia na matatizo yakawa yanaendelea yani watu wananichukia bila sababu mara ugomvi na mke wangu hauishi tena usio na kichwa wala miguu,ndoto za ajabu ajabu hasa kuota napigana na watu nisiowajua au nawajua,kila nachofanya hakifanikiwi hata kama nitakuwa makini sana,hivi sasa sina muelekeo wa maisha na kila kitu hovyo kabisa...

Je, naweza nisaidiwa vipi kujiondoa ktk janga hili?,kuna uwezekano kweli mtu akavuruga mipango yako kimazingara?
 
Miaka 31 bado unajiita mvulana??

Kifupi ushafanyiziwa mambo ya kiswahili, tafuta mahali penye nguvu ya Mungu uombewe shida yako itaisha.

Ukienda kwa mganga ili akusaidie, utaliwa sana hela zako maana utakuwa unapambanisha mganga na mganga.
 
Pole sana hayo mambo yapo na kuna njia mbili za kutatua.

Njia bora zaidi ni kupata msaada wa maombi na kujiweka safi mbele ya Mungu. Lakini mafanikio kwa njia hii ni lazima maisha yako umpendeze Mungu vinginevyo shida zitarudi muda mfupi baada ya maombi.

Njia ya pili kwa wenye dhambi wenzetu ni kutafuta mganga akusaidie. Pia hapa wako matapeli hivyo jitahidi kupata mtu asiye magumashi.
 
Kajole sijajua una abudu katika mrengo upi, lakini kwa kifupi sana kama ni Mkristo nacctiza kama unaamini katika Kristo ni issue ndogo mno nenda kwa wachingaji walioshika imani kwa kuwa wapo wachungaji wanaofanyia matumbo yao, mrudie Mungu ww mwenyew kwa bidii sana watakuja kukuomba msamaha. Hakuna uganga wala uchawi katika nyumba ya Israel asema bwana wa majeshi. Kwa wewe ambaye upande huu haukuhusu tulia au mjibu wa uelewa wako.
 
Kajole sijajua una abudu katika mrengo upi, lakini kwa kifupi sana kama ni Mkristo nacctiza kama unaamini katika Kristo ni issue ndogo mno nenda kwa wachingaji walioshika imani kwa kuwa wapo wachungaji wanaofanyia matumbo yao, mrudie Mungu ww mwenyew kwa bidii sana watakuja kukuomba msamaha. Hakuna uganga wala uchawi katika nyumba ya Israel asema bwana wa majeshi. Kwa wewe ambaye upande huu haukuhusu tulia au mjibu wa uelewa wako.

nimelelewa kwenye imani ya kikatoriki lakini baada ya wazazi kufariki ukweli nilianguka na kuacha kabisa kusali.
 
Kwa nini umdhulumu dada yako? Do as you would be done by.
kaka sijamdhulum chochote yaan mi nlikuwa msaada mkubwa kwake wakati nasoma boom langu ndilo lilikuwa linaendesha maisha yake na yaangu mpaka pale mahakama ilipoidhinisha usimamizi wa mirathi uwe kwake ndipo alipoanza hizo fujo na huwa anasema mimi si mtoto wa yule baba hivyo sina haki ya chochote,hilo la mali mimi sikujihusisha nalo maana nilikuwa natafuta zangu na nilifanikiwa ila mzozo ulipanda kwa kuambiwa si wa baba yake....pia shemeji ndo anachochea ili apate kuzitumia pesa hizo
 
kaka sijamdhulum chochote yaan mi nlikuwa msaada mkubwa kwake wakati nasoma boom langu ndilo lilikuwa linaendesha maisha yake na yaangu mpaka pale mahakama ilipoidhinisha usimamizi wa mirathi uwe kwake ndipo alipoanza hizo fujo na huwa anasema mimi si mtoto wa yule baba hivyo sina haki ya chochote,hilo la mali mimi sikujihusisha nalo maana nilikuwa natafuta zangu na nilifanikiwa ila mzozo ulipanda kwa kuambiwa si wa baba yake....pia shemeji ndo anachochea ili apate kuzitumia pesa hizo

A man that leaves everything in God's hand will in turn see God's hand in everything.
 
Mhu kajole kazini ulifukuzwa kwa kosa lipi? Hasira, ulevi, kuchelewa kazini, Public relation, customer care, auuuuu? Hivi kweli ufukuzwe bila kosa???

Piga magoti, anza Novena siku 9, funga na kusali, mrudie mkeo kama unakula maji makali acha hizo siku na uwe mpole. Kama ukipata kazi ifanye ndo urithi wako hizo mali za wazazi kaa mbali nazo. Huyo shemeji yako usimjibu wala kukaa karibu naye. Tumia muda na familia yako wakati unatafuta kazi. Kama mke wako ana kazi basi mheshimu sababu yeye ndo bread winner sasa usijitie uume kumbee?
 
kaka sijamdhulum chochote yaan mi nlikuwa msaada mkubwa kwake wakati nasoma boom langu ndilo lilikuwa linaendesha maisha yake na yaangu mpaka pale mahakama ilipoidhinisha usimamizi wa mirathi uwe kwake ndipo alipoanza hizo fujo na huwa anasema mimi si mtoto wa yule baba hivyo sina haki ya chochote,hilo la mali mimi sikujihusisha nalo maana nilikuwa natafuta zangu na nilifanikiwa ila mzozo ulipanda kwa kuambiwa si wa baba yake....pia shemeji ndo anachochea ili apate kuzitumia pesa hizo
Kumbe ugomvi ni kwamba inahitajika DNA test.
 
habari ya kazi wakuu!,
mimi ni mvulana wa miaka 31 na nimehitim degree ya uhasibu mwaka 2011. Mwaka huo huo nlipata kazi kwenye kampuni binafsi na maisha yakawa yanaenda vema tu mpaka mwaka 2014 mwezi wa 3 ndipo maisha yakabadilika nakuwa hayaeleweke....
ni kwamba mwaka 2012 nliingia katika ugomvi na dada angu wa baba na mama mmoja tukuzozana juu ya mali za urithi wa wazazi wetu. Dada alinipigia simu na kuahidi kuwa atanikomesha na shemeji yan mume wa dada akasisitiza lazima niwajue (ieleweke shemeji ni nmganga wa kienyeji) basi siku chache nikafukuzwa kazi bila sababu za msingi,nkapata kazi tena lkn nikafukuzwa pia na matatizo yakawa yanaendelea yan watu wananichukia bila sababu mara ugomvi na mke wangu hauishi tena usio na kichwa wala miguu,ndoto za ajabu ajabu hasa kuota napigana na watu nisiowajua au nawajua,kila nachofanya hakifanikiwi hata kama ntakuwa makini sana,hvi sasa sina muelekeo wa maisha na kila kitu hovyo kabisa.....
Je naweza nisaidiwa vp kujiondoa ktk janga hili?,kuna uwezekano kwel mtu akavuruga mipango yako kimazingara?

Funga Siku 7,huku ukiomba na kuvunja nguvu zote za Wachawi, mapepo, na mizimu, Tumia Yeremia 51:20-24.na Ufunuo 12:11 na Luka 10:19.
Omba hasa Kwa kuamanisha, baada ya kumaliza kufunga, endelea kuomba Maombi ya Vita ya kuharibu kazi zote za Shetani huku ukinukuu mistari hiyo niliyokupatia.
Ndani ya miezi kadhaa kila kitu chako kitaanza kufunguka na hutaamini kabisa, Kama hujui kuomba, ni pm nikufundishe.
 
Achana na hizo mirathi muachie Dada yako .. Tena mwambie nakuachia kila kitu tafuta vyako mkuu .. Sababu kama hata anaamini we siyo mdogo wako basi we tafuta vyako utaishia kuwa maskini ukiendelea kutegemea vya urirhi
nadhan hujanielewa,mimi nliachana na hiyo miradhi zamani sana na hata nyumbani huwa sifiki na hata kuwasiliana nae tu huwa siwasiliani nae mpaka labda kwenye matukio ya kijamii kama misiba au harusi,yeye anajistukia tu na ndo maana alinikana
 
nadhan hujanielewa,mimi nliachana na hiyo miradhi zamani sana na hata nyumbani huwa sifiki na hata kuwasiliana nae tu huwa siwasiliani nae mpaka labda kwenye matukio ya kijamii kama misiba au harusi,yeye anajistukia tu na ndo maana alinikana
Basi pole we muombe Mungu tu sasa
 
Pole sana hayo mambo yapo na kuna njia mbili za kutatua.

Njia bora zaidi ni kupata msaada wa maombi na kujiweka safi mbele ya Mungu. Lakini mafanikio kwa njia hii ni lazima maisha yako umpendeze Mungu vinginevyo shida zitarudi muda mfupi baada ya maombi.

Njia ya pili kwa wenye dhambi wenzetu ni kutafuta mganga akusaidie. Pia hapa wako matapeli hivyo jitahidi kupata mtu asiye magumashi.
Umesema kweli ila kwa mganga sio kimbilio kabisa cha msingi amukubali huyu yesu kristo amepenafasi ktk maisha hakika namwambia shetan hatakua na nafasi tena kama biblia inavyo sema kuwa nguvu ya MUNGU havita changamana kamwe na nguvu za ibiris nikama mashariki na maghalibi kwa mbali.
 
kaka sijamdhulum chochote yaan mi nlikuwa msaada mkubwa kwake wakati nasoma boom langu ndilo lilikuwa linaendesha maisha yake na yaangu mpaka pale mahakama ilipoidhinisha usimamizi wa mirathi uwe kwake ndipo alipoanza hizo fujo na huwa anasema mimi si mtoto wa yule baba hivyo sina haki ya chochote,hilo la mali mimi sikujihusisha nalo maana nilikuwa natafuta zangu na nilifanikiwa ila mzozo ulipanda kwa kuambiwa si wa baba yake....pia shemeji ndo anachochea ili apate kuzitumia pesa hizo
Sikia omba kukutan na sister wako au mtafute kwa njia ya amani.
Takana nae amani, ondoa vinyongo vyote.

Hata kama hatokusikiza na kukubali ila tamka kuwa upo oky na umesamehe yote na omba msamaha kama umekosea mahali.

Baada ya hapo, anza kupiga goti mbele za Mungu muombe aingie kwenye maisha yako , kuna faida nyingi sana ukiwa mtu wa kumshirikisha Mungu kwenye maisha yako.

Mwanzoni hauta pata mtiririko mzuri na kwa urahisi but hakuna ku stop endelea. Kabidhi kazi za mikono yako, maisha yako yote pamoja na afya kwa Mungu. Mkeo pia amshirikishe haya, hakuna ambalo ni gumu kwa Mungu hakuna . Yeah unaweza ona kuwa hujui uombeje na kwa namna gani Mungu analijua hilo na ndio anasema kwenye maandiko yake kuwa sisi hatujui kuomba kama ipasavyo ila Roho Mtakatifu hutusaidia.

God only God can help you mwanadamu atatumika kama njia ya upatanisho tu.
 
Asanteni sana ninapata mawazo na michango ya maana sana ambayo naamini italeta suluhisho la kudum la tatizo hili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom