Hapa Palinivutia Kujipiga Picha.......

Kadoda siku nyengine achia tu sura yako kwani ile kesi yako ilishaisha siku nyingi tu hautafutwi tena na jamhuri
 
Yani wewe ni bonge la kiazi.
Thread ni ya kwako.
Picha ni ya kwako umepiga na pozi full ungese.
Halafu bado unaweka picha ya huyo boya kwenye thread ambayo ina picha yako.
Huoni kwamba una cement the idea kwamba wewe si mzima?
Anyway, I am out of this.
 
Yani wewe ni bonge la kiazi.
Thread ni ya kwako.
Picha ni ya kwako umepiga na pozi full ungese.
Halafu bado unaweka picha ya huyo boya kwenye thread ambayo ina picha yako.
Huoni kwamba una cement the idea kwamba wewe si mzima?
Anyway, I am out of this.
....ofcourse that's what me and other wise JF members wanted you to do from the first moment you put your horn ass into this thread.you have done the right thing to step out.mind you,the more you comment into this thread the more you make it popular to other JF members.:cool2:
 
Huo nao ni ufisadi, umetumwa kwenda kujifunza jinsi kilimo cha umwagiliaji wa miwa kinavyofanyika ili uje kuishauri wilaya unayofanyia kazi, wewe umeenda kuangalia majina ya maeneo. Kwanza unafahamu katika lugha yetu ya Pokot, hilo neno lina maana gani ? Sasa andaa ripoti ya safari, wasilisha kwa Bosi wako, usiasahu kuambatisha hiyo picha kama hupendi kazi yako.
 
Duh! hukuuliza mzee historia ya hako kamji au sababu iliyofanya mpaka pakaitwa hivyo.
 
Huo nao ni ufisadi, umetumwa kwenda kujifunza jinsi kilimo cha umwagiliaji wa miwa kinavyofanyika ili uje kuishauri wilaya unayofanyia kazi, wewe umeenda kuangalia majina ya maeneo. Kwanza unafahamu katika lugha yetu ya Pokot, hilo neno lina maana gani ? Sasa andaa ripoti ya safari, wasilisha kwa Bosi wako, usiasahu kuambatisha hiyo picha kama hupendi kazi yako.
ha han ha.kaka usiumize mbavu zangu.kumbe wewe ni mpokot.nilikutana na wale jirani zenu mnao pigana nao kila mara kuhusiana na wizi wa mifugo(ng'ombe,mbuzi nk).wanaitwa waturkana.sitasahau samaki niliokuwa nakula toka ktk lake turkana-ni watamu sana.:wink2:
 
pal, hata mimi nimesema hata kakuma sio tusi ni eneo, ila wakenya wana majina ya ajabu sana ya maeneo yao, e.g. mbooni:A S 13::A S 13:

Pal, ashakum si matusi, Kakuma / Mbooni ni tusi za wazi kabisa katika lugha ya kiswahili. Huwezi kulinganisha na Tigoni ambayo imetungwa tu mtaani hapa majuzi. But I agree with you, Kakuma ni eneo pia. I have been there, working with the Catholic Church and the refugees from Sudan
 
Pal, ashakum si matusi, Kakuma / Mbooni ni tusi za wazi kabisa katika lugha ya kiswahili. Huwezi kulinganisha na Tigoni ambayo imetungwa tu mtaani hapa majuzi. But I agree with you, Kakuma ni eneo pia. I have been there, working with the Catholic Church and the refugees from Sudan

true... i have been there once, and last monday nilienda tIGOni na kimbimbi.... hapo ndipo nikachoka na majina ya kenya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom