kakuma is a refugee camp isn't it??
Duh! yaani 120km bado wanaona ni kadogo!
@Mkuu Kadoda 11, wewe mwenyewe umeona haifai ukajificha, yanini basi kutuwekea hapa :A S embarassed:
Kuna sehemu/kijiji huko liwale panaitwa "mpigamiti"Unaona aibu??
ha ha ha.ndio hivyo tena mkuu.haya ndio mambo ya JF.Akha mazee kumbe wewe ndo unajiita Kadoda11!!Haya Mambo ya JF bwana mbona ofisini unaonekana mwenye hekima sana tofauti na ulivyo humu JF?Ngoja nianze kuwa nakuchora ndo maana the other day ulicomment kuhusu bosi nikahisi ni coincidence kumbe tupo wote.
...source pls?:eyebrows: