Hapa nina full stress

Hapa nina full stress

Mbona mimi nmeambukizwa juzi juzi tuu hapo na silalamiki na nlikua nmejitunza mwaka jana wote sijazagamua lakini amekuja kuniletea gono mtoto wa 2006 ila Mungu mkubwa nmetumia vidinge nmepona
 
Mbona mimi nmeambukizwa juzi juzi tuu hapo na silalamiki na nlikua nmejitunza mwaka jana wote sijazagamua lakini amekuja kuniletea gono mtoto wa 2006 ila Mungu mkubwa nmetumia vidinge nmepona
SAwa mkuu wacha nitumie dozi
 
Gono ni balaaa.... sema mimi Mungu ananipenda sana.
Dah.. mkuu kuna saa tunakaa tunaanza kukumbuka sehemu zote tulizopita pita bila kinga halafu mpaka leo hatujawahi pata hata upele inabidi tu kumshukuru Mungu kwakweli.

Sema mi condom bana nayo dah.. haizoeleki ile midude
 
YAai kama umaekaa na bikira yakooo alafu umekuja kutolewa kimasihara,

Sikia bro kutokana na mfumo wa mwamme leo akipata ugonjwa wa zinaa kesho anakuwa na dalili kwa nje,

Lkn mwanamke anaweza kaa nao hata miezi asitambue ,
Kama imemkubali mwanammke mununukie dawa ulizotumia kisha owa kabisaaa
 
Ahsante mkuu nilikuwa chamani sema niliwasiliti kwa muda baada ya kupata kazi aisee kumbe huku nje ni pamoto hv
Mzee baba kupata kazi unakuandika kila post 😂😂, anewei hongera sana mkuu.

Usimuamini manzi kabisa, ndom muhimu.
Hakikisha geto hukosi ndom, kuna mipira iliyokufa sometimes unaweza pata pande, ukiwa huna zana utafeli.

Na wewe pia ni zoba na hilo gonjwa umejitakia na sio sababu hukua na ndom ndani ila huenda pia unaona aibu kununua condom, au unapoishi hamna maduka??
 
Mzee baba kupata kazi unakuandika kila post 😂😂, anewei hongera sana mkuu.

Usimuamini manzi kabisa, ndom muhimu.
Hakikisha geto hukosi ndom, kuna mipira iliyokufa sometimes unaweza pata pande, ukiwa huna zana utafeli.

Na wewe pia ni zoba na hilo gonjwa umejitakia na sio sababu hukua na ndom ndani ila huenda pia unaona aibu kununua condom, au unapoishi hamna maduka??
Yes huwa naona aibu kununua ndom mkuu
 
Mkuu wewe unauzoefu sana na hili gonjwa ebu toa neno la kunitia moyo
Sio uzoefu kivile, nimeyakanyaga mara 2.
MAra ya kwanza nilipoyavagaa, nilijigundua baada ya kukojoa naona kama nakojoa ukali wa pil pil au moto, sikuja hapa JF wala kupiga simu popote, ilikua ni saa 6 usiku, mzee nilisafiri kilometa 25 kwenda kufuata hospial ya viwango nijue nini shida, sikutaka kwenye dispensary wala duka la madawa. Saa 6 usiku nilikimbia hospital kutibiwa ndio dokta kunambia hili ni gono.

Nikiweka aibu kando maana kwenye afya huwa sitaki utani, nakuaga serious sana.

Mara ya pili ilikua niko Arusha, nilipita demu wa online toka exotic, kesho yake nika his tofauti (mwili wangu uko very reactive to invasions) so fastaaa asubuh nikaghairi rayiba zoote za siku hiyo nikawah Kaloleni pale hospital. Yule dokta akawa ananiletea ustaarabu wa ki dokta anasema ni maambjkiz kwenye njia ya mkojo, nikamwambia, dokta agha kuremba, hili ni gono nalijua vizur, wala usitake kunitia moyo, we nichane live tu. Akacheka sanaaaa.

Ila hii experience ya pili ikanisogeza hatua ya pili kuhusu huu ugonjwa, ile first time sikuvaa kondom. Bit this second time nikitukia condom, hapo ndio niakugundua mbali na kutumia kinga hili gonjwa linahitaji a very higj hygienic process ,pre and after sex , yale maji maji tu shida.

Nikaonaga hapa dawa pekee ni kuacha kabisa kula madem vimeo wachafu chafu wanauka K hawa hovyo kabisa.

Nikaamuaga kutulizana. Ni miaka mingi sana sasa sijuagi habar za kutomba nje niliqmua kutuliza kidudu tu for my own safety and my loved ones
 
Back
Top Bottom