Hapa nina full stress

Hapa nina full stress

Angekuwa nao ange mute...

Au anao ndo maana anajiamini anajua mkienda wote kupima majibu yakawa sare atakuwa amejipatia mwenza WA maisha...yote yanawezekana....cha muhimu ni kujua Hali Yako
Yeah hope sina sababu huyu dem anaconfidence mbaya hata umwamshe saa 8 usiku umwambie mkapime anaenda yani anajiamini sana
 
Mkuu pole, usimuamini mtu hata siku moja juu ya Afya yako. Ila kapime ukimwi ili uishi kwa amani. Itakusaidia kuwa makini zaidi na kujipenda. Kwa sasa unaweza ishi maisha ya woga na kutojiamini. Most likely hauna ukimwi, maana kwa dalili za gono nadhani daktari lazima alipima vyote ikiwemo na ukimwi. Angekwambia kama ungekuwa nao. Japo siyo lazima apime ila mostly wanafanya hivyo kama dalili zako zinatia wasiwasi wanapima magonjwa yote yenye dalili hizo za magonjwa ya zinaa.

Pole, na jitahidi kuwa makini na Afya yako.
 
Ki
Ipo hivi wakuu wiki 3 zilizopita kuna mdada alikuwa anafanyia kazi karibu na ofisini kwangu yupo vizuri shepu safi halafu dem alionekana kunielewa sana.

Basi tukaanza mahusiano nakumbuka alinifoce sana kuja home nikakataa coz sikuwa na kinga kwa gheto sababu mimi sio mtu wa mambo hayo kivile na hapo nilikuwa kama nina miezi 6 nipo single.

Basi next time akanichek tena akaniforce sana hatimae nikamla sababu alikuwa mtu wa dini sana tena kiongozi wa kwaya kanisani basi nikamuamini na nilimpiga show ya maana sikuvaa kinga kosa lingine hilo aisee ninajuta sana.

Sasa baada ya kumla imepita kama siku mbili yule dem akataka tena nikamgonge maana alielewa show yangu sasa jioni yake nikahisi kama mtekenyo fulani nikatoa mashine kuchek nikaona kama usaha like shahawa vile nikajua hapa tayari nishayatimba nikamtafuta yule dem nikamueleza yeye pia akashangaa maana akujua bac nilimind kinoma maana huwa nipo makini sana na afya halafu nimekuja kuipata kizembe hivi.

Basi nikamchek mwanangu mmoja akaniambia yupo daktari mmoja mstaafu huwa anazitibu sana hizo mambo maana kwenda hospitali niliona jau basi tukaenda na mshkaji akinipa pakt ya dawa kama vidonge kumi hivi vya pink unameza kimoja asubuhi na jioni nikapiga hivyo vidonge vikakata ishu ni kwamba maumivu siskii shida mzigo muda wote unatema vitu kama mkojo na sometime vitu kama maziwa ila maumivu hakuna.

Nikamchek mwanangu nikamueleza akaniambia turudi tena kwa dokta akanipa tena dozi ya pili nimemaliza still mzigo bado basi jana nikaona sio kesi basi nikaenda hospitali mbaya zaidi nilikutana na wahudumu wa kike kuanzia dokta mpaka nesi aisee baada ya kupata vipimo dokta kaniambia pole umekutwa na gono pia akaniambia hii sio ishara nzr but its ok.

Tumia dozi ya sindano kwa siku tano na dawa utakuwa sawa. Imeniuma sana coz kila muhudumu wa pale alikuwa akisoma kadi yangu anasikitika kuna mmama mmoja akaniambia kijana mbona unajidhalilisha hivi aisee niliona aibu mno.

Yaani hapa nina hofu kweli natamani sana kwenda kuchek HIV ila ujasiri huo sina nimejitunza kwa miaka mingi sometime nakaa muda mrefu niko single halafu nimekuja kupata ugonjwa kijinga sana na kwanza ndio mimepata ajira eeeh Mungu nisaidie nisiwe nimepewa gono+HIV sina amani, nina mashaka muda wote.

Halafu nasikia huyu dem alikuwa dodoma.

Kingine wakuu kuna uhusiano gani kati ya ngoma na gono maana kuna mtu aliniambia hizi mambo zinaendana na hapo ndio nikachanganyikiwa zaidi.

Najiskia vibaya sana jana imenitoka 40k kwa ujinga wangu mwenyewe yaani mtu kaniachia maradhi na bado pesa nilikuwa nampa aisee.

Hakika zinaa ni mbaya Mungu aninusuru na pia natamani kupima HIV ila hofu inanifanya nishindwe kutimiza hilo lengo.

Naishi kwa mashaka sina amani kabisa ndugu zangu
Kijana kama sio mkeo Kinga ndo first priority nimecheka sana mama nesi kukwambia unajidhalilisha yaan ulifanya Kwa kificho ona sasa umeumbuka next time never do that shit u will escalate the fire. Madem wengi Wana gono na Iko chronic sana ila awajijui kama wanayo hivyo trust none
 
Angekuwa nao ange mute...

Au anao ndo maana anajiamini anajua mkienda wote kupima majibu yakawa sare atakuwa amejipatia mwenza WA maisha...yote yanawezekana....cha muhimu ni kujua Hali Yako
Hapana yeye mwenyew akijaga hom stori akute hata panadol ndani anakuuliza hz dawa zanini mi huwa namtamia namwambiza za ngoma bac anaruka huyo
 
Mkuu pole, usimuamini mtu hata siku moja juu ya Afya yako. Ila kapime ukimwi ili uishi kwa amani. Itakusaidia kuwa makini zaidi na kujipenda. Kwa sasa unaweza ishi maisha ya woga na kutojiamini. Most likely hauna ukimwi, maana kwa dalili za gono nadhani daktari lazima alipima vyote ikiwemo na ukimwi. Angekwambia kama ungekuwa nao. Japo siyo lazima apime ila mostly wanafanya hivyo kama dalili zako zinatia wasiwasi wanapima magonjwa yote yenye dalili hizo za magonjwa ya zinaa.

Pole, na jitahidi kuwa makini na Afya yako.
Shukrani sana mkuu
 
Vipi halia yako lakini? Na patna wako vipi alipata dawa..?
Patner wangu mi nilimuacha japo bado ananisumbua swala la kupata tiba anasema ashapona hapa anataka twende tukapime ngoma kama tupo fresh tuendelee na mahusiano ila mi nimechomoa
 
Ki

Kijana kama sio mkeo Kinga ndo first priority nimecheka sana mama nesi kukwambia unajidhalilisha yaan ulifanya Kwa kificho ona sasa umeumbuka next time never do that shit u will escalate the fire. Madem wengi Wana gono na Iko chronic sana ila awajijui kama wanayo hivyo trust none
Daaah saiz mbunye naziogopa kama ukoma
 
Pole mkuu mapito ya duniani, dah! Nakumbuka 2017 nilipata kimanzi Fulani hivi kina grocery.

Nikatafuta siku kakajaa kwenye mfumo. Kwenda lodge hakukuwa na "Kinga" ikabidi niende hospitali kuchukua Salama kumbuka hapo ni usiku yapata saa 6 hivi.

Duhh! Hizo Salama ni takataka yaani, katikati ya gemu nikashangaa ladha imekolea kucheki ndom Iko juu ishapasuka Dahh!!

Nikamalizia gemu kibishi.

After 12 hours mrija wa mkojo ukaanza kuwasha, nikahisi UTI, nilitumia AZUMA vidonge vi3 ikakata kabisa. Sikutaka Tena mazoea na hako kamanzi.

Ujinga wetu wanaume, hamu zikipanda Huwa tunarahisisha sana maamuzi.

Mi nadhani ni muda wa kutundika daruga la uzinzi. Maana asilimia kubwa ya mademu UTI tupu na gono nje nje!
 
Pole mkuu mapito ya duniani, dah! Nakumbuka 2017 nilipata kimanzi Fulani hivi kina grocery.

Nikatafuta siku kakajaa kwenye mfumo. Kwenda lodge hakukuwa na "Kinga" ikabidi niende hospitali kuchukua Salama kumbuka hapo ni usiku yapata saa 6 hivi.

Duhh! Hizo Salama ni takataka yaani, katikati ya gemu nikashangaa ladha imekolea kucheki ndom Iko juu ishapasuka Dahh!!

Nikamalizia gemu kibishi.

After 12 hours mrija wa mkojo ukaanza kuwasha, nikahisi UTI, nilitumia AZUMA vidonge vi3 ikakata kabisa. Sikutaka Tena mazoea na hako kamanzi.

Ujinga wetu wanaume, hamu zikipanda Huwa tunarahisisha sana maamuzi.

Mi nadhani ni muda wa kutundika daruga la uzinzi. Maana asilimia kubwa ya mademu UTI tupu na gono nje nje!
Mkuu umenichekesha sana unasema ulisikia game imekolea kuangalia ukakuta ndom tayaro ipo juu ishaanga mashindano
 
Back
Top Bottom