Hapa nina full stress

Hapa nina full stress

Nyie "mnaojitunza" sana ndo mara nyingi lazma gono liwapige kelebu.
Sisi wengine mwendo mchibuyu hata wadudu wakiona wanaendelea na safari zao bila kutubugudhi
On a serious note sasa, dont b daft, kama umepata gono meza dawa life lisonge. Wacha kulaumulaumu kifala coz kama kweli unajitunza ungevaa ndom tu, huyo mlokole hajakubaka, uliendekeza manyege.
Subr miez 3, kqpime na umeme, kama na huo umeukwaA sijui tutakusaidiaje.
Wanaojitunza wanakuwa na nyege mpapato kama wanaumwa vile....

Inakuwa rahisi sana kuuza mechi, kwanza wana vituko wakiona kitu kidogo tu kama picha ya mdada nusu uchi wanachanganyikiwa
 
Ukimwi sipimi hata kwa bunduki wacha nitaona matokeo yake huko mbele
Sasa hapo si unaishi kwa stress tu bora upime kama utaanza kumeza karanga uanze haraka usije ukaambukiza wengine
Nyie watu mliopo kwenye window period ndio hatari sana kueneza Hiv, nenda kapime upunguze maambukizi Bongo
 
Ipo hivi wakuu wiki 3 zilizopita kuna mdada alikuwa anafanyia kazi karibu na ofisini kwangu yupo vzr shepu safi halafu dem alionekana kunielewa sana.

Bac tukaanza mahusiano nakumbuka alinifoce sana kuja home nikakataa coz sikuwa na kinga kwa gheto sababu mimi sio mtu wa mambo hayo kivile na hapo nilikuwa kama nina miez 6 nipo single.

Bac next time akanichek tena akaniforce sana hatimae nikamla sababu alikuwa mtu wa dini sana tena kiongoz wa kwaya kanisani bac nikamuamini na nilimpiga show ya maana sikuvaa kinga kosa lingine hilo aisee ninajuta sana.
Sasa baada ya kumla imepita kama siku mbili yule dem akataka tena nikamgonge maana alielewa show yangu sasa jioni yake nikahisi kama mtekenyo fulani nikatoa mashine kuchek nikaona kama usaha like shahawa vile nikajua hapa tayari nishayatimba nikamtafuta yule dem nikamueleza yeye pia akashangaa maana akujua bac nilimind kinoma maana huwa nipo makini sana na afya halafu nimekuja kuipata kizembe hivi.

Bac nikamchek mwanangu mmoja akaniambia yupo daktari mmoja mstaafu huwa anazitibu sana hizo mambo maana kwenda hospitali niliona jau bac tukaenda na mshkaji akinipa pakt yadawa kama vidonge kumi hivi vya pink unameza kimoja asubuh na jion nikapiga hivo vidonge vikakata ishu ni kwamba maumivu siskii shida mzigo muda wote unatema vitu kama mkojo na sometime vitu kama maziwa ila maumivu hakuna. Nikamchek mwanangu nikamueleza akaniambia turudi tena kwa dokta akanipa tena dozi ya pili nimemaliza still mzigo bado bac jana nikaona sio kesi bac nikaenda hospital mbaya zaidi nilikuta na wahudumu wa kike kuanzia dokta mpaka nesi aisee baada ya kupata vipimo dokta kaniambia pole umekutwa na gono pia akaniambia hii sio ishara nzr but its ok tumia dozi ya sindano kwa siku tano na dawa utakuwa sawa. Imeniuma sana coz kila muhudumu wa pale alikuwa akisoma kadi yangu anasikitika kuna mmama mmoja akaniambia kijana mbona unajidhalilisha hivi aisee niliona aibu mno.

Yani hapa nina hofu kweli natamani sana kwenda kuchek Hiv ila ujasiri huo sina nimejitunza kwa miaka mingi sometime nakaa muda mrefu niko single halafu nimekuja kupata ugonjwa kijinga sana na kwanza ndio mimepata ajira eeeh Mungu nisaidie nisiwe nimepewa gono+hiv sina amani nina mashaka muda wote.

Halafu naskia huyu dem alikuwa dodoma.

Kingine wakuu kuna uhusiano gani kati ya ngoma na gono maana kuna mtu aliniambia hizi mambo zinaendana na hapo ndio nikachanganyikiwa zaidi.

Najiskia vibaya sana jana imenitoka 40k kwa ujinga wangu mwenyewe yani mtu kaniachia maradhi na bado pesa nilikuwa nampa aisee.

Hakika zinaa ni mbaya Mungu aninusuru na pia natamani kupima hiv ila hofu inanifanya nishindwe kutimiza hilo lengo
Naishi kwa mashaka sina amani kabisa ndugu zangu
Unasema uko makini na afya yako na umeuza mechi kizembe.
 
Kukosea ni kawaida kwa mwanadamu,acha kujilaumu na ukachek afya
Ila waimba kwaya mhh!
 
Ipo hivi wakuu wiki 3 zilizopita kuna mdada alikuwa anafanyia kazi karibu na ofisini kwangu yupo vzr shepu safi halafu dem alionekana kunielewa sana.

Bac tukaanza mahusiano nakumbuka alinifoce sana kuja home nikakataa coz sikuwa na kinga kwa gheto sababu mimi sio mtu wa mambo hayo kivile na hapo nilikuwa kama nina miez 6 nipo single.

Bac next time akanichek tena akaniforce sana hatimae nikamla sababu alikuwa mtu wa dini sana tena kiongoz wa kwaya kanisani bac nikamuamini na nilimpiga show ya maana sikuvaa kinga kosa lingine hilo aisee ninajuta sana.
Sasa baada ya kumla imepita kama siku mbili yule dem akataka tena nikamgonge maana alielewa show yangu sasa jioni yake nikahisi kama mtekenyo fulani nikatoa mashine kuchek nikaona kama usaha like shahawa vile nikajua hapa tayari nishayatimba nikamtafuta yule dem nikamueleza yeye pia akashangaa maana akujua bac nilimind kinoma maana huwa nipo makini sana na afya halafu nimekuja kuipata kizembe hivi.

Bac nikamchek mwanangu mmoja akaniambia yupo daktari mmoja mstaafu huwa anazitibu sana hizo mambo maana kwenda hospitali niliona jau bac tukaenda na mshkaji akinipa pakt yadawa kama vidonge kumi hivi vya pink unameza kimoja asubuh na jion nikapiga hivo vidonge vikakata ishu ni kwamba maumivu siskii shida mzigo muda wote unatema vitu kama mkojo na sometime vitu kama maziwa ila maumivu hakuna. Nikamchek mwanangu nikamueleza akaniambia turudi tena kwa dokta akanipa tena dozi ya pili nimemaliza still mzigo bado bac jana nikaona sio kesi bac nikaenda hospital mbaya zaidi nilikuta na wahudumu wa kike kuanzia dokta mpaka nesi aisee baada ya kupata vipimo dokta kaniambia pole umekutwa na gono pia akaniambia hii sio ishara nzr but its ok tumia dozi ya sindano kwa siku tano na dawa utakuwa sawa. Imeniuma sana coz kila muhudumu wa pale alikuwa akisoma kadi yangu anasikitika kuna mmama mmoja akaniambia kijana mbona unajidhalilisha hivi aisee niliona aibu mno.

Yani hapa nina hofu kweli natamani sana kwenda kuchek Hiv ila ujasiri huo sina nimejitunza kwa miaka mingi sometime nakaa muda mrefu niko single halafu nimekuja kupata ugonjwa kijinga sana na kwanza ndio mimepata ajira eeeh Mungu nisaidie nisiwe nimepewa gono+hiv sina amani nina mashaka muda wote.

Halafu naskia huyu dem alikuwa dodoma.

Kingine wakuu kuna uhusiano gani kati ya ngoma na gono maana kuna mtu aliniambia hizi mambo zinaendana na hapo ndio nikachanganyikiwa zaidi.

Najiskia vibaya sana jana imenitoka 40k kwa ujinga wangu mwenyewe yani mtu kaniachia maradhi na bado pesa nilikuwa nampa aisee.

Hakika zinaa ni mbaya Mungu aninusuru na pia natamani kupima hiv ila hofu inanifanya nishindwe kutimiza hilo lengo
Naishi kwa mashaka sina amani kabisa ndugu zangu
Ukiona umempata gono, ujue umenusurika kupata hiv, unapewa tafadhari ukumbuke kuvaa. By the way Hauna Ngoma kjna huwez pata Kama demu ana UTI sugu maana lazima ana uke mkubwa
 
Asikwambie mtu gono linauma balaa, na likiwa sugu kupona ni mtihani, Kuna dawa inaitwa salboctum hii ndio kiboko ya gono sugu, HIV NA GONO YOTE NI MAGONJWA YA ZINAA KAPIME UKIMWI MZEEE , WANAWAKE WANAWEZA KUISHI NA GONO HATA MIKA 5 BILA DALILI ZOZOTE ILA LINAWATAFUNA NDANI KWA NDANI AKIJA KUONESHA DALILI TAYARI ANAKUWA KAATHIRIKA VIBAYA KWA MWANAUME GONO LINAONESHA DALILI SIO CHINI YA SAA 24
 
Usiache kuvaa gwanda kila unapoingia uwanja wa vita...

Gono na HIV zote ni STDs lakini si lazima kwamba mwenye gono basi ana ngoma...

Ngoma pima walau baada ya wiki mbili tangu ulipoloweka huo mkuyenge kwa mrembo...
 

Hongera mwanachama mpya, bonyeza link ujisajili
 
Back
Top Bottom