Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa

Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat

Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea

Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako

Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa

Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu

Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat

Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili

Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani

Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda

Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu

Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia

Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi

Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani

Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake

Nini kifanyike hapa?
 
Fanton Mahal eti tunafanyaje mwenyekiti
Hapo mwanaume hana anachotakiwa kufikiria mara 2. Aendelee na uamuzi ambao tayar alishauchukua toka alipogundua tatizo. Kwakifupi jamaa bado yuko vizuri ashikilie hapo hapo. No drama, no vikao, ataondoka mwenyewe tu huyo mama. snowhite anaweza kuwa na la ziada hapa
 
Wanawake wanaopenda visasi ni wanawake wasio na akili na mwanamke asiye na akili ni hatari sana na mara nyingi wanapenda validation na ku control wanaume kisasi ni adhabu ya kumfanya mwanaume amhofie.

Mwanaume aliyekamili hawezi vumilia mwanamke hatari kama huyo na hizi tabia huwa zinaonekana mapema tu ila mtu anaamua kupuuzia na mwisho maisha yake yanaharibikiwa kwa uzembe aliofanya mwenyewe.
 
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa

Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat

Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea

Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako

Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa

Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu

Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat

Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili

Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani

Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda

Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu

Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia

Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi

Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani

Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake

Nini kifanyike hapa?
Scenario nzuri, itakuwa na funzo murua. Nafuatilia
 
Hivi kwa mfano huyo mama angetoa mimba pale pale mwanzo tu baada ya kugundua kuwa ana mimba ambayo sio ya mumewe ingekuwaje
 
Mi Sina ushauri yoyote ila kitu watu wanapaswa kujua ni kuwa kitu uaminifu kikiuliwa na usaliti hakuna namna uta repair hiyo damage the rest will only be a script ambayo nayo haita last long
 
Back
Top Bottom