cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,386
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa
Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat
Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea
Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako
Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa
Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu
Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat
Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili
Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani
Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda
Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu
Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia
Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi
Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani
Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake
Nini kifanyike hapa?
Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat
Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea
Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako
Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa
Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu
Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat
Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili
Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani
Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda
Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu
Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia
Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi
Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani
Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake
Nini kifanyike hapa?