Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

Kama ingekuwa ndoa ni comitment , kila mtu akishaingia basi ajue wajibu wake ..Pande zote wakiheshimu basi haitovunjika hata siku moja..Ila watu hawaheshimu ndoa , mtu bado ana michepuko ya nje ana hata wasiwasi .

Ndoa ilitakiwa maagano ya kweli , mtu ajifunge kifungo kabisa akileta ujinga apate madhara ya kuonekana ..Hapo watu wangeheshimu ndoa .
 
Kama ingekuwa ndoa ni comitment , kila mtu akishaingia basi ajue wajibu wake ..Pande zote wakiheshimu basi haitovunjika hata siku moja..Ila watu hawaheshimu ndoa , mtu bado ana michepuko ya nje ana hata wasiwasi .

Ndoa ilitakiwa maagano ya kweli , mtu ajifunge kifungo kabisa akileta ujinga apate madhara ya kuonekana ..Hapo watu wangeheshimu ndoa .
Sure
 
Mbona watu wanaheshimu kazi ,mtu hajawhai kuvunja maadili ya kqzi hata kiaka 35 ..Iweje ndoa na taratibu kila mtu anapewa ..

Hata mtu akiwa malaya ila akiwacomitted na ndoa itadumu ,lazima ajitambue ....Watu wa sasa hwaheshimu ndoa kabisa ... Wanaume tunajipa uhalali wakucheat kama mazombie vile ,watu hawajielewi kabisa ..Mke naye akiamua analipiza hapo ni mtihani.
 
Hivi kuna watu bado wanavumilia mambo kama hizi. Mtu anifanyie vitimbi vyote hivyo na bado nimuangalie asee na pamoja na vitimbi vyote eti tuishi kama zamani. Yani mimi
 
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa

Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat

Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea

Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako

Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa

Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu

Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat

Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili

Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani

Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda

Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu

Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia

Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi

Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani

Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake

Nini kifanyike hapa?
Yaani atiwe mimba na mwanaume mwingine halafu aendelee kuwa mke wangu??
 
Mbona watu wanaheshimu kazi ,mtu hajawhai kuvunja maadili ya kqzi hata kiaka 35 ..Iweje ndoa na taratibu kila mtu anapewa ..

Hata mtu akiwa malaya ila akiwacomitted na ndoa itadumu ,lazima ajitambue ....Watu wa sasa hwaheshimu ndoa kabisa ... Wanaume tunajipa uhalali wakucheat kama mazombie vile ,watu hawajielewi kabisa ..Mke naye akiamua analipiza hapo ni mtihani.
Sad...kote kumechangamka
 
Shida wengi hatuwezi kukubali makosa yetu na kujihesabia haki kwenye ndoa.

Ukishajiheshabia haki basi mko mashakani.

Utacheat kisha unaona ni Sawa tuu, hapo umejihesabia haki naye akijua umecheat anaona alipize kwa kucheat.

Madhara yake ni makubwa, mnajihesabia haki kwa gharama za watoto wenu, mimi ni shuhuda wa hizi mambo aisee usipojitoa watoto wanapata tabu kichwani.

Utataka uoe tena, vita inaanza kati ya watoto na mama mpya,

utataka uolewe tena vita inaanza kati ya watoto na babà Mpya.

Hawa watoto watarushwa rushwa mnoo,utaona boarding ni suluhisho aisee boarding hailei watoto

Mungu tu atusaidie
 
Shida wengi hatuwezi kukubali makosa yetu na kujihesabia haki kwenye ndoa.

Ukishajiheshabia haki basi mko mashakani.

Utacheat kisha unaona ni Sawa tuu, hapo umejihesabia haki naye akijua umecheat anaona alipize kwa kucheat.

Madhara yake ni makubwa, mnajihesabia haki kwa gharama za watoto wenu, mimi ni shuhuda wa hizi mambo aisee usipojotoa watoto wanapata tabu kichwani.
Kweli ,kamq tubavyojizuia kunywa pombe ,na vingine basi hata kucheat tujizuie kutokana tayari tuko ndani ya ndoa...Tena tuchukie kabisa kama waislamu tunasivyokula kitimoto.

Kiufupi ukijipa haki na kuhalalisha makosabasi ushaharibu.
 
Kweli ,kamq tubavyojizuia kunywa pombe ,na vingine basi hata kucheat tujizuie kutokana tayari tuko ndani ya ndoa...Tena tuchukie kabisa kama waislamu tunasivyokula kitimoto.

Kiufupi ukijipa haki na kuhalalisha makosabasi ushaharibu.

True,
nilikua nachelewa sana kurudi home kwa siku kadhaa kwa juma either ni kazi Au napitia bar kunywa na jamaa zangu kumbe Bibie kina Mchina na hasemi.
Lakini nikagundua kuwa huwa hapati usingizi maana gono moja tu getini dkk kadhaa yupo getini.

Hapo ni saa 6 Au 7 hapa nilijihesabia haki kama mwanaume sipaswi kupangiwa muda wa kurudi,na huwa tunadanganyana sana Bar😂😂
 
Kisasi kwenye hii dunia hakikwepeki. Ukiona umemfanyia mtu jambo baya akapotezea ujue tu nidhaifu na hawezi kufanya kitu. Lakini nikujidanganya kuwa unaweza kumfanyia mtu jambo litakalomuumiza halafu alilipize
 
Shida wengi hatuwezi kukubali makosa yetu na kujihesabia haki kwenye ndoa.

Ukishajiheshabia haki basi mko mashakani.

Utacheat kisha unaona ni Sawa tuu, hapo umejihesabia haki naye akijua umecheat anaona alipize kwa kucheat.

Madhara yake ni makubwa, mnajihesabia haki kwa gharama za watoto wenu, mimi ni shuhuda wa hizi mambo aisee usipojitoa watoto wanapata tabu kichwani.

Utataka uoe tena, vita inaanza kati ya watoto na mama mpya,

utataka uolewe tena vita inaanza kati ya watoto na babà Mpya.

Hawa watoto watarushwa rushwa mnoo,utaona boarding ni suluhisho aisee boarding hailei watoto

Mungu tu atusaidie
Mi nafikiri wajibu ndio suluhisho la majanga ya ndoa. Kila mtu awajibike kwa nafasi yake.
 
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa

Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat

Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea

Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako

Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa

Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu

Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat

Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili

Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani

Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda

Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu

Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia

Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi

Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani

Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake

Nini kifanyike hapa?
Mwanamume hakutaki tena .... Unajilazimishia nini hapo?? Unataka nini zaidi wakati hakuna mawasiliano, hakuna mapenzi tena?

Mwanamke wajibika kwa matendo yako ya uovu ndani ya iliyokuwa ndoa yako....
 
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa

Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat

Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea

Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako

Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa

Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu

Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat

Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili

Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani

Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda

Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu

Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia

Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi

Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani

Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake

Nini kifanyike hapa?
Kila mtu aishi kivyake. Once a women cheat always a hoe
 
Kitu wanawake tujue mwanaume akijaza mtu mimba inabebewa huko mbali!
Wewe ke ukibeba mimba na sio ya mume unaibebea ndani anaiona kila siku!


Sijui lakini ,
Katika vitu sijawahiga kuwaza ni kushindana na mwanaume mwenye wanawake wengi.
Eventually utachoka tu!
Revenge kwa mwanaume mzinzi wala haipo kwenye kutumia mwili wako!
Utachoka tuuuuu!

Af ndo unalipa kucheat unabeba mpk mimba na bado upo chini ya paa la mtu mwingine?

Halaaafu mnapambanaga na wanaume vya nini wakati hamna nguvu za kumudu maisha wenyewe!?
Yani we unabeba mimba ukiwa kwa mume bado?
Unatakiwa kujifungua unapiga simu kwa mume anayejua umemcheat ndo ukabeba mimba?

top top unambambika na kesi,
worse zaidi unadai talaka?
Like serious mnakuwaga mnashauriwa na nani?
 
Kitu uzao sio kirahisi hivyo mnavyowaza!
Mwanaume umwambie ndio umemcheat, yani unakiri kabisa enh ndio , sababu ni wewe ulicheat?
enh ndio hii mimba sio yako! nyiee!
ehehhehehe haki labda kama humtaki mazima!
Kwanza hata kama umemalizana nae na humtaki, kukuacha salama sijui!

Well, some of us wenzenu hatufanyi makosa ya kiwehu hvi
Hata kama biashara imeisha!
Ipo namna ya kumaliza biashara na mtu na wakati wote unakuwa salama!

Sijui lakini, mana wa siku hizi mna maakili mengi!
 
Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa

Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat

Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea

Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako

Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa

Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu

Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat

Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili

Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani

Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda

Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu

Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia

Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi

Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani

Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake

Nini kifanyike hapa?
mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ndiyo hiyo sasa my lady 🐒
 
Back
Top Bottom