Naima Naimani
Member
- Aug 23, 2014
- 39
- 147
Ndugu mdau hebu toa maoni yako kuhusu hii TAHLISO.
Kumbe ndio maana boom linachelewa, mpka leo wanachuo hawajui watajiandikishaje kwenye daftari la kura. Kumbe TAHLISO ipo chini ya UVCCM??
THIS IS SHAME!
Kumbe ndio maana boom linachelewa, mpka leo wanachuo hawajui watajiandikishaje kwenye daftari la kura. Kumbe TAHLISO ipo chini ya UVCCM??
THIS IS SHAME!