Hapa ndipo dada zetu wanapoanguka

Hapa ndipo dada zetu wanapoanguka

Hivi unaanzaje kurudia mpenzi wa zamani?
Dicks zilivyozagaa zagaa hivi nikajirudishe kwa mpenzi wa zamani!!!!heri nianzishe mahusiano na wanaume wapya kila siku ama niwe single

Hayo mengine siyajui buuuut kama ilivyo mpenzi hasomeshwi basi hata mpenzi wa zamani harudiwi
Inategemea mliachana vp kwanza? kingine zile kumbukumbu nzr mlizokuwa pamoja mfano out, gifts nazani unaelewa sizani kama kunamtu huwa anasahau hizi memories kwa haraka kwahiyo inampelekea mtu kumiss na kutaka kurudi kulealipotoka
 
Inategemea mliachana vp kwanza? kingine zile kumbukumbu nzr mlizokuwa pamoja mfano out, gifts nazani unaelewa sizani kama kunamtu huwa anasahau hizi memories kwa haraka kwahiyo inampelekea mtu kumiss na kutaka kurudi kulealipotoka

Simiss chochote kwake kubabake zake!
 
Hivi ni wanawake tu ndio huwa wanajirudi? Hivi wanaume mbona mnapenda kukuza mambo!!!!!!!!
ha ha wanaotibiwa kwanza ni wahanga wakuu hata hatukuzi Mambo.
 
Sina uhakika break up yenye happy ending ikoje

Nina break up moja hadi sasa,haikuwa ya ugomvi wala marumbano ya namna yoyote....but i'll never get back with him!!
Wewe ni mdangaji
 
Bado hawajajua kupenda kukoje na ndio maana hata hapa hawaelewi.
Hawezi kuelewa huyu mapenzi yako vp ajawahi kupata yale ya kihindi na kiphillipino unajihisi duniani ww ndio mjanja wengine wote mafala tu .
 
Hivi unaanzaje kurudia mpenzi wa zamani?
Dicks zilivyozagaa zagaa hivi nikajirudishe kwa mpenzi wa zamani!!!!heri nianzishe mahusiano na wanaume wapya kila siku ama niwe single

Hayo mengine siyajui buuuut kama ilivyo mpenzi hasomeshwi basi hata mpenzi wa zamani harudiwi
Nna was was na hlo tundu sasa si itakuwa kikapu?
 
Back
Top Bottom