Hapa ndipo dada zetu wanapoanguka

Hapa ndipo dada zetu wanapoanguka

Kuna Mmoja alibreak up na mm kwa kashfa sana...mpaka familia yake nayo wakashiriki kunikashifu maana nilkuwa na ukaribu sana na Wadogo zake, mpaka mama yake ....kisa kapata kipya.

Sasa hv ananiambia alikoenda siko...kwa kifupi aliangukia pua....kwa Sasa kuanzia yeye mpaka mama yake wanajitahidi sana kurudisha uhusiano na mimi...Nimeshatumiwa mpaka watu kutakiwa msamaha.

Kwa kifupi nilimjali yeye mpaka familia yake ila Sijui wanawake wanatakaga nini tu...hata Sijui kwa kweli.
 
Kuna Mmoja alibreak up na mm kwa kashfa sana...mpaka familia yake nayo wakashiriki kunikashifu maana nilkuwa na ukaribu sana na Wadogo zake, mpaka mama yake ....kisa kapata kipya.

Sasa hv ananiambia alikoenda siko...kwa kifupi aliangukia pua....kwa Sasa kuanzia yeye mpaka mama yake wanajitahidi sana kurudisha uhusiano na mimi...Nimeshatumiwa mpaka watu kutakiwa msamaha.

Kwa kifupi nilimjali yeye mpaka familia yake ila Sijui wanawake wanatakaga nini tu...hata Sijui kwa kweli.
shetani alimpitia
 
Kuna Mmoja alibreak up na mm kwa kashfa sana...mpaka familia yake nayo wakashiriki kunikashifu maana nilkuwa na ukaribu sana na Wadogo zake, mpaka mama yake ....kisa kapata kipya.

Sasa hv ananiambia alikoenda siko...kwa kifupi aliangukia pua....kwa Sasa kuanzia yeye mpaka mama yake wanajitahidi sana kurudisha uhusiano na mimi...Nimeshatumiwa mpaka watu kutakiwa msamaha.

Kwa kifupi nilimjali yeye mpaka familia yake ila Sijui wanawake wanatakaga nini tu...hata Sijui kwa kweli.
Na usije danganyika ukarudi, waache wapambane na hali zao
 
Na usije danganyika ukarudi, waache wapambane na hali zao


Kabisa mkuu...huwezi Amini nilienda mpaka kwao nikakaa naye ...Wadogo zake na mama (baba alishatangulia mbele ya haki) nikajaribu kuwaelewesha sana ila Wapi..ilifika mpaka mama yake akaniambia..huna hadhi ya kuwa na mwanangu...yaani ninapoonaga sms za huyo mama akinitaka msamaha huwa nashangaa sana..
 
Mi nawaaambiaga wasichana kuchagua chagua huku wavulana kutawatokea puani...mnatak aliyemkamilifu 100% mwenye pesa, sixpack, HB, mrefu, mweupe, mwenye gari na nyumba juuu....
 
Personally siwezi kurudia X. Nikiachana nae kwa sababu tena nakua nimejaribu kila njia kuokoa mahusiano. Ikishindikana hiyo ndo ntolee hata dunia ipunduke siwezi kurudi.
 
Hivi unaanzaje kurudia mpenzi wa zamani?
Dicks zilivyozagaa zagaa hivi nikajirudishe kwa mpenzi wa zamani!!!!heri nianzishe mahusiano na wanaume wapya kila siku ama niwe single

Hayo mengine siyajui buuuut kama ilivyo mpenzi hasomeshwi basi hata mpenzi wa zamani harudiwi
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa na mpenzi na kuwa na Dicks nyingi,kumrudia mpenzi wako wa zamani ni sahihi 100% ila kuirudia dick ya zamani sio sahihi
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa na mpenzi na kuwa na Dicks nyingi,kumrudia mpenzi wako wa zamani ni sahihi 100% ila kuirudia dick ya zamani sio sahihi

Ni sahihi kwa upande wako,sio kwangu
 
Kuvunja mahusiano sio kitendo cha kutengana na mtu kijamii peke yake bali kiakili na hisia pia.
Hisia zikishakufa, akili ikafanya maamuzi hakunaga kurudi nyuma.
Kurudiana na mtu niliyeachana nae ni kuamua kuishi kwa stress kubwa kwani upendo, heshima na uaminifu wa awali haviwezi kurudi
Ukiamua kuacha acha moja kwa moja vinginevyo komaa na hali yako
 
Kuvunja mahusiano sio kitendo cha kutengana na mtu kijamii peke yake bali kiakili na hisia pia.
Hisia zikishakufa, akili ikafanya maamuzi hakunaga kurudi nyuma.
Kurudiana na mtu niliyeachana nae ni kuamua kuishi kwa stress kubwa kwani upendo, heshima na uaminifu wa awali haviwezi kurudi
Ukiamua kuacha acha moja kwa moja vinginevyo komaa na hali yako
Hmna raha kama kumove on mapenzi ni jambo tamu sana yani nikishaona dalili hatuendani au vimigogoro vya kishenzi nakutafutia msaidizi mwezi tu nakupiga teke naendelea na maisha yangu
 
Hivi unaanzaje kurudia mpenzi wa zamani?
Dicks zilivyozagaa zagaa hivi nikajirudishe kwa mpenzi wa zamani!!!!heri nianzishe mahusiano na wanaume wapya kila siku ama niwe single

Hayo mengine siyajui buuuut kama ilivyo mpenzi hasomeshwi basi hata mpenzi wa zamani harudiwi

Mhm hao naona hawajakugegeda vizuri ndio tatizo
 
Back
Top Bottom