hapa mwisho mwisho kabisa

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,485
54,855
HII+NAYO+AJALI!+MBAGALA+HIYO.jpg

mia
 
Hilo nondo DCM liko kama Land rover.bila ya shaka liko barabarani linapiga mzigo kama kawaida
 
konda kaangalie kama tumepata pancha tairi zote. hahahaaa
 
Halafu kwenye kioo kuna Mithali 10:4 Mikono mivivu hufanya mtu maskini lakini mikono yenye bidii ...
 
hii itakuwa mbagala feri. Mia

Mbagala-Feri (If you meant Mbagala-Kivukoni) ingekuwa na rangi moja tu, hiyo rangi ya kiny*si...
Since kuna rangi ya zambarao hapo, ambayo ni route za Kawawa & Bagamoyo Roads, hiyo gari itakuwa kama nilivyosuggest hapo juu.
It reminds me of msela'angu Barnaba, wakati akisoma Kibasila, alikuwa hapandi gari kama sio DCM.
 
Mbagala-Feri (If you meant Mbagala-Kivukoni) ingekuwa na rangi moja tu, hiyo rangi ya kiny*si...
Since kuna rangi ya zambarao hapo, ambayo ni route za Kawawa & Bagamoyo Roads, hiyo gari itakuwa kama nilivyosuggest hapo juu.
It reminds me of msela'angu Barnaba, wakati akisoma Kibasila, alikuwa hapandi gari kama sio DCM.

jamani, kwani nimebisha?. au unataka uongee wewe tu mkuu. wape uhuru hata watu wengine bana. Mia
 
hilo basi ustaarabu hakuna kabisa unaweza kuvaa shati jeupe alafu mtu akapita na ndoo ya samaki wabichi inavuja damu juu yako.ndio mbagala hiyo wenyewe wameisha zoea utakuta mtu hajawai kupita mlangoni ana miezi mitatu yeye ni dirishani tu.
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom