Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Hapo vipi?
Kuna kenge humu anapost upuuzi!
Kila kitu kwake ni udini na ukabila na ccm na cdm. Ukiwa bata daima bata tu! Unaharisha tu maisha yako yote! Bata hanyi, anahara!
NCCR M/kiti ni mchaga
TLP M/kiti mchaga.
Kwasababu CDM kimewainamisha mnahaha!
Bata bata tu!
muulize yoyo.mombasa hapo
Bata bata tu!Hata ukilinyonyoa bado bata tu!Umemuana enh
Hawa watakuwa wamehitimu au bado?...
pombe si chai
La hasha, haya ni matatizo ya kula kachumbali na kutomtembelea mwana mgangaDuh si mchezo,Saint Ivuga hapa ni mitaa ya Nairobi na haya ni moja ya matatizo ya kutumia toilet paperz................
La hasha, haya ni matatizo ya kula kachumbali na kutomtembelea mwana mganga
Hapo Kanumba anacheza pornography au..................!Kunani pale?