CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Duh si mchezo,
Saint Ivuga hapa ni mitaa ya Nairobi na haya ni moja ya matatizo ya kutumia toilet paperz................
KITCHEN PARTY....Taabu wanadhani mwanamke anafundwa kwa masaa tuu ili kuwa amefuzu kuishi vizuri na MMEWE??!! Sijui huwa wanaiona kama CRASH-PROGRAMME ???Maana hata shule husomi siku moja na kwenda kufanya exams......
Kila kitu kipya
Wengine husukuma muda tu....wanakuwa wamehitimu kivyao longtime