Hapa JF watu wanatongoza DADA zao sana tu

kwahiyo wakitongozana inakuhusu nini au unataka kaka yako nikusoundishe hakuna greatthinker mwehu never labda huu ujumbe ni wa vilaza wenzako from no where mpaka message za mapenzi na kuwa wachumba no investigation bora nikupe bia nyingine ya kibo iwe 11 mlevi mkubwa
 
kwahiyo wakitongozana inakuhusu nini au unataka kaka yako nikusoundishe hakuna greatthinker mwehu never labda huu ujumbe ni wa vilaza wenzako from no where mpaka message za mapenzi na kuwa wachumba no investigation bora nikupe bia nyingine ya kibo iwe 11 mlevi mkubwa

Nimejiuliza upumbavu kama huu unaweza kuandikwa na mtu aliyekomaa hapa jf kweli
Nikakukagua kumbe umetoke FB 2/7/2014 ndio maana bado una hamu
 
Nimejiuliza upumbavu kama huu unaweza kuandikwa na mtu aliyekomaa hapa jf kweli
Nikakukagua kumbe umetoke FB 2/7/2014 ndio maana bado una hamu

hahaha bado sana huu upeo utabaki kwenye hoja za kutongozana na kutongoza charty chukua huu mzoga wako wenye scope 0.-
 
Last edited by a moderator:
kama kweli ni dada yangu lazima niijue ID yake humu,,,,tofauti na hapo sio dada yangu na akikiaa level namdandia tuu
 
Mkuu charty ni mke wangu mimi dada zangu ID zao nazijuwa so huwa nawapisha sana
Mbinde ni kwako unavyopenda kurukia rukia mademu na kuwatongoza fanya utafiti usije kuta yule wa kibantu ni dada yako hahaha na ulivyokuwa unalilia lile penzi sungura1980 unatisha

Hahaaaa,haya nilikuwa nayasikia Kenya tu,mke mmoja wanaume wawili!!Haaaa kumbe watu wanaingia kichwa kichwa,fanyeni uchunguzi kwanza,msiwe na papara!Tunapendana na laazizi wangu Bantu lady,,tutakualika mkuu nyumbani
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaa,haya nilikuwa nayasikia Kenya tu,mke mmoja wanaume wawili!!Haaaa kumbe watu wanaingia kichwa kichwa,fanyeni uchunguzi kwanza,msiwe na papara!Tunapendana na laazizi wangu Bantu lady,,tutakualika mkuu nyumbani

Nitakuja na charty tupate angalau glass ya mvinyo kidogo
Hivi mkuu bantu lady bado yupo hapa jf kweli maana nahisi umemficha sehemu
Mpe uhuru usimbane sana!!
 
Last edited by a moderator:
Kibo10 unataka kutuambia charty sio dada yako??Au umezidiwa kete na Rich Pol,basi unakuja na sizitaki mbichi hizi!Hahaaaaa,funguka vizuri mkuu,umekuta charty ni dada yako nini??Poleni,kuona tu avatar au id ya mtu,ushatongoza tayari,ndio maana yule nanii ni wa kiume!!

ImageUploadedByJamiiForums1405016341.129900.jpg
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom