Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Nani tena huyu honey sijawahi kushea mke mimi ni mali yangu peke yangu!
Aaaah ok poa
Last edited by a moderator:
Nani tena huyu honey sijawahi kushea mke mimi ni mali yangu peke yangu!
kwahiyo wakitongozana inakuhusu nini au unataka kaka yako nikusoundishe hakuna greatthinker mwehu never labda huu ujumbe ni wa vilaza wenzako from no where mpaka message za mapenzi na kuwa wachumba no investigation bora nikupe bia nyingine ya kibo iwe 11 mlevi mkubwa
Nimejiuliza upumbavu kama huu unaweza kuandikwa na mtu aliyekomaa hapa jf kweli
Nikakukagua kumbe umetoke FB 2/7/2014 ndio maana bado una hamu
Mkuu charty ni mke wangu mimi dada zangu ID zao nazijuwa so huwa nawapisha sana
Mbinde ni kwako unavyopenda kurukia rukia mademu na kuwatongoza fanya utafiti usije kuta yule wa kibantu ni dada yako hahaha na ulivyokuwa unalilia lile penzi sungura1980 unatisha
Hahaaaa,haya nilikuwa nayasikia Kenya tu,mke mmoja wanaume wawili!!Haaaa kumbe watu wanaingia kichwa kichwa,fanyeni uchunguzi kwanza,msiwe na papara!Tunapendana na laazizi wangu Bantu lady,,tutakualika mkuu nyumbani
Nitakuja na charty tupate angalau glass ya mvinyo kidogo
Hivi mkuu bantu lady bado yupo hapa jf kweli maana nahisi umemficha sehemu
Mpe uhuru usimbane sana!!
Miss u kibo10...!xoxo
Japo nakupenda sana! Lakini itanibidi nijifunze kukuchapa sasa.
Miss u kibo10...!xoxo
Japo nakupenda sana! Lakini itanibidi nijifunze kukuchapa sasa.