Hapa GPA za 2.9 watachaguliwa tu

Hapa GPA za 2.9 watachaguliwa tu

kazi kweli wazee wa tamisemi haya 90,000+ wapo form 5 ivi ufaulu wa div 1-3 ulikuwa namba ipi tulinganishe mizani...
naskia kwa form iv division 1, 2 and 3 ni 93, 019. watoe waliokosa shule 3000 upate idadi ya walioenda advance
 
naskia kwa form iv division 1, 2 and 3 ni 93, 019. watoe waliokosa shule 3000 upate idadi ya walioenda advance
ok mkuu lakini ajabu wataoenda chuo kikuu 50000+
 
ok mkuu lakini ajabu wataoenda chuo kikuu 50000+
ata wengine wasipo enda waache tu wapate cheti cha six.....kwa pcm, pcb, pgm, cbg ata akipata DEE sio mbaya.. bado ataeza kukitumia icho cheti kwenye fursa zingine...
 
ata wengine wasipo enda waache tu wapate cheti cha six.....kwa pcm, pcb, pgm, cbg ata akipata DEE sio mbaya.. bado ataeza kukitumia icho cheti kwenye fursa zingine...
hao wenye hizo marks 2020 wataenda chuo kwani ndalichako kaleta mapinduzi makubwa katika elimu yasiyo na tija
 
hao wenye hizo marks 2020 wataenda chuo kwani ndalichako kaleta mapinduzi makubwa katika elimu yasiyo na tija
kwani unadhan ukiwa na bachela ndio umetoka... na kwanin asubir 2020.. mbona kuna course mingi anaeza piga mtu kama uyo....
 
diplo ya c. o, medical lab, phamacy sio mbaya ... nadhan ni safi kuliko iyo education..
education ni msiba wa taifa ahaaa hizo ata certificate bado wana market
 
BBM..... loading miaka 16 kwenye elimu outcome yake😎😎😎🙁🙁🙁🙁🙁🙁
 
DEE ndalichako awafikirie Sana wanatakiwa waikute bachelor inawasubili. CCD kwenda advance ni matatizo mengine huyo mtu akijitaid atapata eeee
 
Kwanza me naona TCU wangeacha ya 2.7 mfano havard na vyuo vyote vikuu wanatumia hiyo 2.7 kama kiwango cha chini sasa sisi tuna nini paka tuweke 3 vyuo vyote vitakosa watu kwa idadi ya miaka 4-5 iliyopita hiyo 2.7 tu mbinde watu supp kibao sasa3.O itakuwaje jamani
Ukiona TCU wameweka 3.0 GPA ,wameangalia thamani ya elimu imeshuka Kwa SAsa ndio maana wamepandisha vigezo....kazeni Buti mkiwa chuoni ubishoo mwingi usiokuwa na maana hatuhitaji vilaza Kwa sasa
 
Usikate tamaa kuna jamaa ana GPA 4.8 ila ameliwa kichwa ivo round ya pili omba unaweza kupata
Sasa kama mwenye 4.8 kalambwa yeye 2.9 anapata wapi maana hata vigezo vya 3.0 hana.?
 
Back
Top Bottom