24hrs
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,632
- 5,968
hyo ushukuru si ilikuwa 3.5 ama ...Thank you God i got 3.2G.P.A
hyo ushukuru si ilikuwa 3.5 ama ...Thank you God i got 3.2G.P.A
yap...nilichanganyikiwa mwaka jana. Nikawa napiga hesabu niende upya diploma au nirudie six.hyo ushukuru si ilikuwa 3.5 ama ...
Tatizo la hiyo diploma mnafanya mtihani mmoja tu kama wa form six na hakuna coursework hapo gpa lazima iwe low,,lkn wenzenu cbe n.k wanajichagulia gpa!! kwao nfkr hiyo 3.0 sio shida..Ila kama inawezekana warudishe tu ile ya 2.7 maana kwa walimu Wa diploma ya necta ni wachache sana wenye 3.0 above wengi 3.0 below
ahaaa ni kwel kigogo TIA wana hofu ya mungu lakin nako madudu matupu unajua hili swala la gpa waliangalie upya kuna watu wamelipia tu cheti wamepata gpa ya 4 sasa serikali haioni kama inawaumiza watoto wa wanyonge....Tatizo la hiyo diploma mnafanya mtihani mmoja tu kama wa form six na hakuna coursework hapo gpa lazima iwe low,,lkn wenzenu cbe n.k wanajichagulia gpa!! kwao nfkr hiyo 3.0 sio shida..
Lazima kuwe na ukoma ili watu wasome kwa nguvu
Ni jpa ipi itatumika? Ni ya mwisho au??
Ukikua utajua tunazungumzia nini wakubwa zako.jaman m cjajua iyo 2.9 inapatkanaje kwa advance
Mkuu sio lazima kusoma kama mtaani kumenoga...3.8 gpa ya electronics & telecom engineering DIT alaf hata siwazi kwenda kuchukua degree sijui nimerogwa mie