Swala ni vyuo kupata wanafunzi wenye sifa. 2.9 itahitaji TCU ibadilishe vigezo, hivyo sidhani kama kuomba na 2.9 ni kuwa makini bali kupoteza muda na fedha tu.Samahani kwausumbufu wadau kwahili la tamko la TCU minaona wale diploma wenye GPA ya 2.9 waombe tu vyuoni nadhani watapata nafasi maana vyuo vitakosa wanafunzi.Au wewe mdau unaonaje...
Weee mtu siyo bure shusha hasira ndo urudi kah?Tamko lishatoka ni 3.0 sasa mnataka tamko gani..wakati mlipokua vyuoni kazi ilikua kukatika viuno..someni vijana acheni kulialia huu utawala mwingine..
Ukiweka 2.9 wengine wa 2.8 watasema inafaa.Kweli japo nahisi baadhi yavyuo vitakosa ujazo mzuri wa wanafunzi nafkiri TCU walekebishe nafkiri 2.9 ingefaa kidogo ,ushauri wangu waombe tu labda wanaweza kukaachini
huo ndo ukweli mchunguTCU wameshaweka vigezo ni 2.9 gpa.
Chini ya hapo utakuwa automatic disqualified
wasomi mkiwa wengi mtadah serikali ajira wakati nchi haina hizo ajiraKuwe na option kama zamani mtu anaweza kufanya mitihani qualifying test.
Watajuana wenyewewasomi mkiwa wengi mtadah serikali ajira wakati nchi haina hizo ajira
nadhani tusimlaumu ndalichako jamani hizi grades aliona zitawafaa sana ata makaziniWatajuana wenyewe
Sawanadhani tusimlaumu ndalichako jamani hizi grades aliona zitawafaa sana ata makazini
Na wenye 2.7 nao watasema haki haitendekiUkiweka 2.9 wengine wa 2.8 watasema inafaa.
ata mkilalama gpa ni 3 sasa we kahonge chuo huone unavo pata aibu kama wale waliotumbuliwa majuzi kati labda hujiriwe private institutionNa wenye 2.7 nao watasema haki haitendeki
Lazima kuwe na ukoma ili watu wasome kwa nguvuNa wenye 2.7 nao watasema haki haitendeki
Ujumbe mzuri sanaTamko lishatoka ni 3.0 sasa mnataka tamko gani..wakati mlipokua vyuoni kazi ilikua kukatika viuno..someni vijana acheni kulialia huu utawala mwingine..