Afadhali🙂bs nakutumia pm
😄Hapa kwa Putin ndio kabisa inasoma -0.45© mpaka mawazo yanaganda. Picha ya hizi takwimu nawaletea network ikiyeyuka.
Huko canada mishe zinaendajeshwari kabisa
😂🤪😛😆😆😂😁Picha ya ndevu zilivyo ganda
Kwa Putin na Berlin huwa baridi inanyanyasa. Hiyo anayosema 4 degrees bado ni jotoHapa kwa Putin ndio kabisa inasoma -0.45© mpaka mawazo yanaganda. Picha ya hizi takwimu nawaletea network ikiyeyuka.
Na umri huo hauelewi namna ya kupandisha joto la mwili?!Balaa tupu
View attachment 3555812
Auf welcher seite stehst du, bruder?Gut - als Antwort
Upo wapsiko canada,,
Kule n hatari sana mkuuKwa Putin na Berlin huwa baridi inanyanyasa. Hiyo anayosema 4 degrees bado ni joto
Hapa nilipo mbezi kimara mzigo unapiga 33 joto balaa
Balaa tupu
View attachment 3555812
Hicho ni kilugha gani tena, mbona mnanichanganya 🤔🤓
Hcho ni kijerumani hapo nimekulizaHicho ni kilugha gani tena, mbona mnanichanganya
Mtu unatembea juu ya maji mito ilivyoganda. Halafu kunakuwa hakuna upepo au hata Barafu. Ukitema mate yanaganda. Akinamama wanavaa taulo hata wasipokuwa Appollo. Hapo hata sisi wagumu tulikuwa tunapaka mafuta maana mwili unakatika katika kama mtu amekuweka viwembe. Nimekumbuka mbali sanaKule n hatari sana mkuu