ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,219
Enock Bella hakuwa msanii wa yamoto band? vip wasiwasi ulikuwepo au haukuwepo ?na hali yake sasa ikojeMbosso alikua ni msanii wa Yamoto tunamjua way back, haikuwa kazi ngumu sana kumuamini kuwa atafanya vizuri.
Aslay kweli aliibeba Yamoto ila Mbosso hatukuwa na wasiwasi naye saana kama ambavyo wengi wanawasiwasi na wazanii wapya kabisa.