Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,240
- 3,931
Mchanga wenywewe unao!!! Umeme tu, domestic use umetushinda leo unaobgelea gas, mna gas nyie au?Hebu wengine endeleeni kuleta nondo za hizo smelting plants,maana mdau mmoja hapo juu kasema Zambia wanayo,na kama ni maswala ya umeme nikitafakari,kwa gesi tulionayo ina maana soon haitakuwa issue kwetu,sasa kwanini tuogope!