Haniridhishi jamani


acha uongo wewe! Una any scientific evidence ya usemayo au ni hisia zako tu.......
 
................acha kumdhalilisha jamaa yako wewee!!!! umtemee mate ili iweje ndo ingesaidia awe anachelewa ku-ejaculate au?. Hilo suala limetokea mara moja tu sikuona sababu ya kuja kumuanika hivyo jamaa yako kwa maneno uliyoandika hapo juu. Umeandika unataka ushauri sawa umeeleweka, sikiliza watu watakachokushauri na sio ku-expose weakness za mahusiano yenu. .Baada ya kupata ushauri hapa muongozane church na huyo jamaa yako mkatubu kwa uzinzi wenu huo mlioufanya.
 
itakuwa ni ukame tuu,kwanza sema anaduu mara ngapi moja tu ,au mbili tatu au zaidi kama ni mara moja na ni muda mfupi kama wa jogoo hapo kazi ipo je na mara ya ipli bado akichungulia tu huyoooo au vinginevyo?
 
Je wewe unamridhisha isije ikawa wewe ndio gogo..na yeye kwa ugeni wake kwako kjn wa watu anacheua fasta
 
inawezekana katika process yenu ya uchumba tayari ulishakuwa na msuguaji mwingine, sasa unapolinganisha unaona afadhali ya huyo kuliko mchumba; na huu unaweza kuwa ndio mwanzo wa utungu wako.

Ushauri kama unampenda: mpe muda...!!!
 

Nenda magomeni makanya kuna mwanajeshi anabaka watu, huyo nasikia akipanda ni mpk dkk 45
 
Umepata bikira...nenda naye taratibu usimjeruhi!
 



NDIO MAANA TUNASHAURI TUSUBIRI HAD TUFUNGE NDOA
HAPO SASA IBILISI ANATAKA KUINGIZA FTNA ZAKE,WE MPE NAFASI
ILA PIA INAONESHA NDUDE YAKO IKO TYN SANA AND SO HOT KIAS KWAMBA JAMAA AKIPENYEZA ILE PIPI YA KIJITI UZALENDO UNAMSHINDA ATAFIKIA WAKATI ATAZOEA TUH
AU BAO LA KWANZA WE INYONYE KWANZA PIPI YA KIJITI AF KUANZIA LA PILI MWACHE AANZE KUCHAKARIKA
AKIENDELEA NA HIYO HALI MZABE KIBAO CHA USO NAWW KUONESHA HASIRA YAKO KIDOGO
:smile: :smile:
 
labda mwenzio alikuwa ajajigjig siku nyingi, jaribu mechi ya marudiano
 
kusex ni mara ya kwanza lakini huwa tunakutana na kushikana na wakati romance haifiki hata dakika 2 tayari anakua ameshajikojelea kwenye suruali mi hii sijawai kuona aiseee!!!!


Utakuwa vizuri ukitoa vyote na siyo vipande vipande. Tutakushauri vizuri zaidi. Toa matatizo yote hapa
 
haya ndugu zangu nimerudi tena kutokana na ukimya niliokua uliokuwepo, tumerudia sex mara 4 kwa siku tofauti hali ni hiyo hiyo nimejaribu kuongea nae kirafiki tu amesema anamapungufu hayo na hali hiyo imemjengea hofu kuwa na mahusiano kwani kiwa anaekua nae anamkimbia ameniomba nimsaidie jaman nisaidien tena atumie dawa gani?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…