Hanigusi mpaka mimi nianze

Hanigusi mpaka mimi nianze

Shida nini sasa kiongozi..? kama unahitaji na unapewa na mauno juu regardless umeanza ww hata sioni shida.
Ukitaka uwaelewe wanawake utaishi kwa stress maisha yako yote. Hao Mungu mwenyewe ndo anawaelewa .
Huyu jamaa labda mi nimemuelewa tofauti lakini naona kama anatafuta justification ya kumtema shemeji yetu. Jaribu kumuacha uone. Kwani ukiwa na kiu maji huwa yanatoka yenyewe kwenye mtu uyanywe? Omba ukipewa, tusua utulie. Au huwa pia hakupi ushirikiano alofundishwa unyagoni?
 
Huyu jamaa labda mi nimemuelewa tofauti lakini naona kama anatafuta justification ya kumtema shemeji yetu. Jaribu kumuacha uone. Kwani ukiwa na kiu maji huwa yanatoka yenyewe kwenye mtu uyanywe? Omba ukipewa, tusua utulie. Au huwa pia hakupi ushirikiano alofundishwa unyagoni?
Yaaah, inawezekana ana sababu zake binafsi ila tu asianze kumu-undermine mtoto wa watu kwa mambo kama hzo.
 
Amekosa ham na wew

Kuna kitu kinamtafuna moyoni....maybe kuna kitu unamfanyia amekijua....!!

Mfano.una mchepuko amejua ila hajakubananisha bado...!!hakuambii so inamtafuna kwa ndan
 
Mwanamke ambaye anakusumbua kukupa papuchi wewe Kama huyo wako..
Kuna mwenzio anaambiwa "Wewe tu ukipata muda niite"
Inauma sana yani ila ndio maisha lazma yaendelee. Mwanamke akifa hisia ni kimeo
 
Ukienda kazini kuna mwenzako huko anapewa viuno vyakufa mtu... Sikia mkuu tafuta mchepuko afu nawewe uwe unamringia uone kama hajakuanza
Amabokoooo.....eeh... Amabokooo!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amaduduuuu......eeh... Amaduduuu!!!
 
KUNA MMOJA ALIKUWA ANAMAJINI MAHABA KWAHIYO HUWA WANAMUINGILIA KABLA YAKO NA KISA KINGINE NILISHUHUDIA DADA ALIKUWA ANAFANYA MAPENZI YA KIPEPO NA NABIII
 
Kuna mdau hapo amekushauri utafute mchepuko. Unaweza ona si point ya maana lakini hakika hiyo ndiyo dawa. Mwanaume wa kawaida hakosi mchepuko ,,,jiunge tafadhari na wanaume wenzako ili mkeo naye apate feeling kuwa yupo na mwanaume ambaye akizembea kumpa papuchi anaenda kutafuna papuchi ya mwanamke mwingine huko nje.
Tafuta hata michepuko miwili ambayo itakumaliza njaa yako kiasi unaweza fika nyumbani wewe ndiye unaona noma kutafuna kwani unaweza gundulika.


IMG-20200824-WA0033.jpg
 
Hatumii chochote kati ya hivyo mkuu,ngoja niendelee kumuhimiza japo nimeshaongea sana mpaka nahisi nachoka

Kumuhimiza hakusaidii kunaleta tu Kero, wanawake was mpaka Leo sijawa elewa Hata kidogo!

Lazima Aweze kueleza ana shida gani, Labda hakupendi, Labda anachepuka, Ana miaka mingapi?
 
Basi hali unayoipitia ni ya kawaida tu mpe muda atajirudi maana mapenzi yamehamia kwa mwanao sasa hv.
NB: mimi sijaoa ila nina rafiki yangu na yeye anapitia kipind km hik ila alipata ushauri na akaelewa.

Atakuja kuelewa Baadae kwamba hakuelewa
 
Kutokana na asili ya mwanaume bila shaka wewe ndiye unapata genye haraka kabla yake. Ukishamwondolea zake wewe tena unakuwa wa kwanza kuzipata ambapo sasa unamkuta mwenzio bado hana hiyo miwasho. Ndiyo maana anaamua kusingizia kuumwa.
Kaa mwezi bila kumgusa uone kama hatakuanza.
 
Ukioa hilo ndo tatizo la Kwanza kubwa

Sasa lapili akipata mtoto hapo ndo hata ukimgusa utakuwa unamnajisi tu

Unadhani wanaume wanatembea na wanawake nje wakati mke Ana mimba au mtoto mchanga ni kwamba wajinga sanaaaaaaaaaaa hapana ni wanaendaga kupunguza hisia zao halafu wanakutana na Mambo matamu kupitiliza wanajisahau na kupotelea huko...


Ndugu yangu sio peke yako wametofautiana kidogo sana wote wanapenda mcheze cheze na mito na kuangalia movies pamoja ukileta hbr za sex wengi wao hawanaga mood mpk ajue umeanza kupenda mwanamke mwingine..

Mi nilitatua hilo tatizo kwa kumpigia tukio maana nilihisi alisahau kuwa Nina kaumalaya kdg basi nikatafuta mtoto wa chuo kimoja akahisi nimepiga bila ushahidi Toka siku hiyo yeye ndo anaanzisha sex mi sina mda kbs

Usifuate njia zangu sio nzuri

Wanawake, mwanaume akikosa sex inayojitosheleza huna Cha kumpa akaridhika Hunaaaaa na wala hujawahi kuwa na kitu Cha kumpa mwanaume akaridhika Kama sio sex toka Enzi na enzi mwanamke aliweza kumcontrol mwanaume kupitia good sex na sio kingine.Invest kumpa furaha kitandani uone utakavyoitwa malaika uone utakavyo Kula mema ya nchi Kila rahisi bila kutumia nguvu.

Mnasemaga wanaume hawarogeki embu tafuta mwanaume anayekupenda halfu Mpe good sex uone kama huo uchawi hautampata
Umemaliza kila kitu mkuu.... yani nimesoma zote nilipofika hapa nikatulia kwanza ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom