Hanigusi mpaka mimi nianze

Hanigusi mpaka mimi nianze

Wakuu nipo njia panda hapa, shemeji yenu ana tatizo moja sijui ni tatizo sijui ni kitu gani, yaani katika swala la tendo la ndoa hana muda kabisa yani

Tunaweza kulala mpaka asubuhi hajanigusa huku natamani aanze maana kwangu mimi Mgegedo unaninogea kama wote tuna mood sio mimi tu ndo niwe na mood kila siku mpaka huwa najistukia sometimes visababu kibao eti amechoka ,Hili jambo huwa linaniumiza maana mimi ni moja ya wanaume ambao hatuna time na hizi mambo za kuchepuka

Nilishajaribu mara kibao kumweleza lakini mafanikio hakuna na yeye anaona yupo sawa tu wakuu nishaurini kwenye hili

Kama huna ushauri bora ukae kimya


Hakugusi hadi wewe uanze ???!! --- Mwenye shida ndiye humfuata daktari . Yeye ni kama daktari 🤣.
 
Wakuu nipo njia panda hapa, shemeji yenu ana tatizo moja sijui ni tatizo sijui ni kitu gani, yaani katika swala la tendo la ndoa hana muda kabisa yani

Tunaweza kulala mpaka asubuhi hajanigusa huku natamani aanze maana kwangu mimi Mgegedo unaninogea kama wote tuna mood sio mimi tu ndo niwe na mood kila siku mpaka huwa najistukia sometimes visababu kibao eti amechoka ,Hili jambo huwa linaniumiza maana mimi ni moja ya wanaume ambao hatuna time na hizi mambo za kuchepuka

Nilishajaribu mara kibao kumweleza lakini mafanikio hakuna na yeye anaona yupo sawa tu wakuu nishaurini kwenye hili

Kama huna ushauri bora ukae kimya
Kama huyo dada ni mchaga sawa, huwa hawana nyege za dushee kabisa, sana nyege na hela, mguse na hela zitapanda kila siku
 
Basi hali unayoipitia ni ya kawaida tu mpe muda atajirudi maana mapenzi yamehamia kwa mwanao sasa hv.
NB: mimi sijaoa ila nina rafiki yangu na yeye anapitia kipind km hik ila alipata ushauri na akaelewa.
Tianeni ujinga tu!
 
Wakuu nipo njia panda hapa, shemeji yenu ana tatizo moja sijui ni tatizo sijui ni kitu gani, yaani katika swala la tendo la ndoa hana muda kabisa yani

Tunaweza kulala mpaka asubuhi hajanigusa huku natamani aanze maana kwangu mimi Mgegedo unaninogea kama wote tuna mood sio mimi tu ndo niwe na mood kila siku mpaka huwa najistukia sometimes visababu kibao eti amechoka ,Hili jambo huwa linaniumiza maana mimi ni moja ya wanaume ambao hatuna time na hizi mambo za kuchepuka

Nilishajaribu mara kibao kumweleza lakini mafanikio hakuna na yeye anaona yupo sawa tu wakuu nishaurini kwenye hili

Kama huna ushauri bora ukae kimya
Mpe karanga za iziraeli minyege iyakuwa kama yote
 
Hana hisia na wewe..... Hakuna kitu kitamu kama kukwichi na mtu mwenye uko na hisia nae, wala huchoki... Tena ukute mwanaume anakunyenyekea kwenye tendo kama mtoto mdogo
 
Hana hisia na wewe..... Hakuna kitu kitamu kama kukwichi na mtu mwenye uko na hisia nae, wala huchoki... Tena ukute mwanaume anakunyenyekea kwenye tendo kama mtoto mdogo
Na inawezekana pia jamaa hamfanyi vizuri huyo bibie so bibie haenjoy anajionea karaha tu!
 
Ukioa hilo ndo tatizo la Kwanza kubwa

Sasa lapili akipata mtoto hapo ndo hata ukimgusa utakuwa unamnajisi tu

Unadhani wanaume wanatembea na wanawake nje wakati mke Ana mimba au mtoto mchanga ni kwamba wajinga sanaaaaaaaaaaa hapana ni wanaendaga kupunguza hisia zao halafu wanakutana na Mambo matamu kupitiliza wanajisahau na kupotelea huko...


Ndugu yangu sio peke yako wametofautiana kidogo sana wote wanapenda mcheze cheze na mito na kuangalia movies pamoja ukileta hbr za sex wengi wao hawanaga mood mpk ajue umeanza kupenda mwanamke mwingine..

Mi nilitatua hilo tatizo kwa kumpigia tukio maana nilihisi alisahau kuwa Nina kaumalaya kdg basi nikatafuta mtoto wa chuo kimoja akahisi nimepiga bila ushahidi Toka siku hiyo yeye ndo anaanzisha sex mi sina mda kbs

Usifuate njia zangu sio nzuri

Wanawake, mwanaume akikosa sex inayojitosheleza huna Cha kumpa akaridhika Hunaaaaa na wala hujawahi kuwa na kitu Cha kumpa mwanaume akaridhika Kama sio sex toka Enzi na enzi mwanamke aliweza kumcontrol mwanaume kupitia good sex na sio kingine.Invest kumpa furaha kitandani uone utakavyoitwa malaika uone utakavyo Kula mema ya nchi Kila rahisi bila kutumia nguvu.

Mnasemaga wanaume hawarogeki embu tafuta mwanaume anayekupenda halfu Mpe good sex uone kama huo uchawi hautampata
 
Hapo kuna kidudu mtu kinakumegea kisiri fanya uchunguzi na kama ukishindwa ebu hama mkoa kaa nae kama mwezi hv akibadilika mtwange talaka na asipobadilika ujue ana tatizo.....
 
Eeeh kabisa, Kuna wakati wanaume huwa mnafeli wenyewe mnaleta lawama kwa wanawake....... Imagine mtu kafika anakurukia kama simba anaanza tu kuingiza kitu tena atatumia nguvu iingie ni mwendo wa up _down tu.. Hheeeey nani atataka afanye na mwanaume wa hivyo
Na inawezekana pia jamaa hamfanyi vizuri huyo bibie so bibie haenjoy anajionea karaha tu!
 
Hatumii chochote kati ya hivyo mkuu,ngoja niendelee kumuhimiza japo nimeshaongea sana mpaka nahisi nachoka
kama hatumii hata njia ya uzazi wa mpango na wewe utataka kila siku; mimba unazuiaje?
Nyongeza; kwenye suala la sex, watu wapo makundi matatu
1. wapo wanaopenda sana sex (wapo high - kama 25%
2. wapo wa kawaida wanapenda kiasi 2 or 3 times a week kama 50%
3. wapo wasio penda (wapo low) hao nao ni kama 25%

combination ya 1& 2; Aliyeko # 1 atakuwa ana anza yeye mara nyingi
1&3 hiyo hapo haiwork out kwa kuwa 3 hatapenda kusumbuliwa kila siku
2&3 angalau 2 atakuwa ana anza yeye kila siku; japo 3 atajaribu kumvumilia ila asizidi sana

Hivyo inategemea wewe umeoa Combination gani
Saa nyingine tusiwalaumu wanawake hata wewe ungekuwa low; ingekuwa hivyo hivyo



sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom