FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 132
- 264
Wakuu nipo njia panda hapa, shemeji yenu ana tatizo moja sijui ni tatizo sijui ni kitu gani, yaani katika swala la tendo la ndoa hana muda kabisa yani
Tunaweza kulala mpaka asubuhi hajanigusa huku natamani aanze maana kwangu mimi Mgegedo unaninogea kama wote tuna mood sio mimi tu ndo niwe na mood kila siku mpaka huwa najistukia sometimes visababu kibao eti amechoka ,Hili jambo huwa linaniumiza maana mimi ni moja ya wanaume ambao hatuna time na hizi mambo za kuchepuka
Nilishajaribu mara kibao kumweleza lakini mafanikio hakuna na yeye anaona yupo sawa tu wakuu nishaurini kwenye hili
Kama huna ushauri bora ukae kimya
Tunaweza kulala mpaka asubuhi hajanigusa huku natamani aanze maana kwangu mimi Mgegedo unaninogea kama wote tuna mood sio mimi tu ndo niwe na mood kila siku mpaka huwa najistukia sometimes visababu kibao eti amechoka ,Hili jambo huwa linaniumiza maana mimi ni moja ya wanaume ambao hatuna time na hizi mambo za kuchepuka
Nilishajaribu mara kibao kumweleza lakini mafanikio hakuna na yeye anaona yupo sawa tu wakuu nishaurini kwenye hili
Kama huna ushauri bora ukae kimya