Handling finances in marriage.... advice

mmmm wewe Mbu ....mmmmmnh! ati ipi yenye nguvu zaidi??🙄

...kwani shishi hujaona nyingine ukigusa tu mawasiliano tayari, nyingine hata ukiiloweka...network zero?
 

hiyo ya wadogo zake nipende akilazimisha atajichosha kwakweli
 
Shishi ulisha ingia ndani ya ndoa tayari..tulete mlejesho aisee..
 
Fanya juu chini changia, mkiwa ndoani hamna cha huyu ama yule. Ntakueleza kitu hapa, ukifata ushauri wa rafiki zako wa hela yko iwe yako pekee yako jiandae kuja kunyanyasika in the future mkitibuana maana hutoweza hata kudai kijiko mkifarakana. Pia ndugu wanamaneno na ukiwa mjane ndio utaisoma namba vizuri. Kipato chko jitahid hata uchangie kodi ya meza, mavazi na bills kama maji,umeme. Pia usiache kununua assets za ndani kama vyombo,makabati,mapazia nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…