chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
kwani dogo Hamza walimzulumu nn mkuu!?Hata Mimi siku wakinionea natafuta mabomu sio bunduki zinachelewesha. Hamza hakufikiri sana ila alipanik
Inakuwaje mtu utafute kwa tabu waje wakupukutishe kirahisi.
Sina roho ya Tundulisu kukimbia ila kwa kweli niko radhi niwalipe hata alshababu.
Nasema mtu yeyote asijecheza na hasira yangu na kama nchi inatafuta watu wachungu na haki zao wanitafute.
Sinaga huruma za kipuuzi na mmoja kufa kuwakilisha wengi busara pia