LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,065
- 27,001
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...
Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..
So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .
Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?
Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?
Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.
Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.
Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.
Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.
Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.
Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.
Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?
Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.
Ugaidi ni ideology sio personality.
Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.
Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...
Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?
Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.
Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?
Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..
So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .
Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?
Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?
Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.
Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.
Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.
Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.
Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.
Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.
Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?
Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.
Ugaidi ni ideology sio personality.
Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.
Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...
Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?
Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.
Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?
Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.