beatrixmgittu
Senior Member
- Dec 21, 2010
- 113
- 7
Dah! usiogope juu vile ni mtanzania natoka fasi ya kigomaa mwisho wa reli.Mhhh! Unanitisha. Anyway, karibu sana mgeni. Sijui weye watokea wapi weye, maana hiyo lugha yako, mmhhh
Asante nashukuru kwa ukaribisho.napenda kuchukua nafasi hii kukujulisha ya kuwa unakaribishwa..
karibu kwenye hili jukwaa ila kuwa mwangalifu usije jikwaa
Ni matumain yangu mt wazima wa afya njema.Dhumuni la ujumbe huu ni kutaka kuwajulisha na mie huyu nimejiunga kikosini toka fasi za magharibi ya tz. Napenda kuwasalim wana jf popote mlipo. Wasalaam b.m a.k.a butombitombi.
mwidiwe Ye mugabo!
kwi kwi kwi, usiogope BUTOMBITOMBI ni jina lenye maana nzuri . Dagaa tu mepata umesahau zambagiza na sombe. Thanx kwa ukaribisho.Hmmmmm! hilo jina lako la butombitombi matata sana hahahahahah nadhani litapata umaarufu mkubwa sana hapa jamvini LOL! Hebu nitumie dagaa wakavu kilo tatu, dagaa wabichi kilo tatu, matembele makavu ya kiasi, chupa mbili za maweze na migebuka michache kutoka hapo kwenu LOL! karibu sana jamvini BM a.k.a butombitombi hahahahahaa
mwidiwe Ye mugabo!
kwi kwi kwi, usiogope BUTOMBITOMBI ni jina lenye maana nzuri . Dagaa tu mepata umesahau zambagiza na sombe. Thanx kwa ukaribisho.
Welcome butombibutombi,
Unatokea kigoma sehemu gani? Kazuramimba au uvinza?