hKichaka
Senior Member
- Apr 23, 2011
- 199
- 19
Jamani naombeni msaada wenu ,kila wakati najisikia kula chakula cha usiku hata kama ni mchana tatizo ni nini?ni mchmba but yupo mbali kuhusu kumwibia no kwa sababu naona ni dhambi kubwa sana kumsaliti mpenzi wangu.Nimejaribu kufaya mazoezi kuwa bize lakini bado jogoo mkali...