Hamna mwanaume mzuri kama mimi!

huyo ana matatizo kama sio walakini aliöna wapi mwanaume rijali akijisifu kwa uzuri
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ungeona sasa jinsi alivyo ndo ungekoma. Ana blackberry 4, ana video camera, ana cheni nzito sana ya bati, ana laptop 2, usoni mweupe sana, lakini sijui hajaoga muda gani, kwani miguu yake ni myeusi kuliko mkaa, na bado anajiita na kujiona mzuri
<br />
<br />
Bujibuji hapa umenifanya nivunjike mbavu.
 
Mwanaume anayekuwa na simu ya Blackberry na wale wanaovaa suti na tai huku wameshika magazeti huwa sitaki hata kukutana nao.

Ha ha ha ha sasa huyu ana Blackberry nne??????????? Halafu mzuri mbona vichekesho duniani humu
 
Igwe mbona umeshangaa. Hao ndio wanaume wanajiita wazuri sasa sijui na wanawake watasemaje

hili ni jipya kidogo mkuu,....kumbe wale masharobaro wanaoigiza wanamaanisha,......mmmmmmmh
 
Mwanaume anayekuwa na simu ya Blackberry na wale wanaovaa suti na tai huku wameshika magazeti huwa sitaki hata kukutana nao.

Ha ha ha ha sasa huyu ana Blackberry nne??????????? Halafu mzuri mbona vichekesho duniani humu

Mimi nina N8,navaa suti bila tai na huwa sishiki magazeti kamwe, sura yangu ni ya kokoto.....je!...ntapata nafasi
 
Huyo katoka mombasa. Alipoona kule kasifiwa kuwa mzuri kajua na huku atasifiwa na kubabaikiwa.
 
Nipo hapa idara ya uhamiaji Nyerere Road, kijana mmoja mwenye mlegezo na sauti ya kisharabaro analiona jina lake kwenye ubao wa matangazo, lakini anaambiwa passport yake bado haijatoka.
Anaporomosha matusi ya aibu na makubwa sana, ananimaliza kwa kusema eti ye mzuri kuliko wanaume wote, hivyo kina dada wa uhamiaji wamefanya hila ili wabaki na passport yake kwqa kuwa yeye ni mzuri kuliko wanaume wote, hii imekaaje wadau?

Mpe hongera zake
 

wanaume wa siku hizi...
- wanapaka poda
- wanapaka lip gloss
-wanapenda kulelewa na mijimama
kubwa kuliko wanajisifia kuwa wao ni
wazuri...tena wazuri kuliko wanaume wote

huko tuendako mmmmmmh... kazi ipo
 

wanaume wa siku hizi...
- wanapaka poda
- wanapaka lip gloss
-wanapenda kulelewa na mijimama
kubwa kuliko wanajisifia kuwa wao ni
wazuri...tena wazuri kuliko wanaume wotehuko tuendako mmmmmmh... Kazi ipo

waambie wabadili tabia
 
mh!!! huyu vip uzuri wa mwanaume uko kenye mshiko bwana,huyu ana biashara zake zingine.
 
Nipo hapa idara ya uhamiaji Nyerere Road, kijana mmoja mwenye mlegezo na sauti ya kisharabaro analiona jina lake kwenye ubao wa matangazo, lakini anaambiwa passport yake bado haijatoka.
Anaporomosha matusi ya aibu na makubwa sana, ananimaliza kwa kusema eti ye mzuri kuliko wanaume wote, hivyo kina dada wa uhamiaji wamefanya hila ili wabaki na passport yake kwqa kuwa yeye ni mzuri kuliko wanaume wote, hii imekaaje wadau?

Anaweza kuwa yuko sahihi. Ungemwuliza anaposema mzuri ana maana gani. Inawezekana ni mzuri kwa mujibu wa vigezo anavyotumia yeye kijipima.
 
Back
Top Bottom