<br />Unatuuliza sisi na wewe ndio uliokuwepo hapo? si utuambie wewe kuna ka ukweli katika aliyoyasema au ni porojo, kama kawa.
<br /><br /><br />
<br /><br />
ungeona sasa jinsi alivyo ndo ungekoma. Ana blackberry 4, ana video camera, ana cheni nzito sana ya bati, ana laptop 2, usoni mweupe sana, lakini sijui hajaoga muda gani, kwani miguu yake ni myeusi kuliko mkaa, na bado anajiita na kujiona mzuri
Igwe mbona umeshangaa. Hao ndio wanaume wanajiita wazuri sasa sijui na wanawake watasemaje
Mwanaume anayekuwa na simu ya Blackberry na wale wanaovaa suti na tai huku wameshika magazeti huwa sitaki hata kukutana nao.
Ha ha ha ha sasa huyu ana Blackberry nne??????????? Halafu mzuri mbona vichekesho duniani humu
mh achana na wafu....
Mimi nina N8,navaa suti bila tai na huwa sishiki magazeti kamwe, sura yangu ni ya kokoto.....je!...ntapata nafasi
Nipo hapa idara ya uhamiaji Nyerere Road, kijana mmoja mwenye mlegezo na sauti ya kisharabaro analiona jina lake kwenye ubao wa matangazo, lakini anaambiwa passport yake bado haijatoka.
Anaporomosha matusi ya aibu na makubwa sana, ananimaliza kwa kusema eti ye mzuri kuliko wanaume wote, hivyo kina dada wa uhamiaji wamefanya hila ili wabaki na passport yake kwqa kuwa yeye ni mzuri kuliko wanaume wote, hii imekaaje wadau?
Niko full Booked
wanaume wa siku hizi...
- wanapaka poda
- wanapaka lip gloss
-wanapenda kulelewa na mijimama
kubwa kuliko wanajisifia kuwa wao ni wazuri...tena wazuri kuliko wanaume wotehuko tuendako mmmmmmh... Kazi ipo
Nipo hapa idara ya uhamiaji Nyerere Road, kijana mmoja mwenye mlegezo na sauti ya kisharabaro analiona jina lake kwenye ubao wa matangazo, lakini anaambiwa passport yake bado haijatoka.
Anaporomosha matusi ya aibu na makubwa sana, ananimaliza kwa kusema eti ye mzuri kuliko wanaume wote, hivyo kina dada wa uhamiaji wamefanya hila ili wabaki na passport yake kwqa kuwa yeye ni mzuri kuliko wanaume wote, hii imekaaje wadau?