Scared
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 10,848
- 17,506
Kwa nilivyoona tarehe 29 mpaka tarehe 3 watu kuuawa na tuliaminishwa jeshi lipo na wananchi basi mkae mkijua hii nchi watu hawatoingia barabarani kuandamana tena
Sasa hivi kila mtu anasema kama kuiba acha waibe tu kila mtu afe na chake. Ukijichanganya kujifanya mwanaharakati uchwara upo tanzania na huna hata pistol utatekwa utapotezwa na hakuna atakaekukumbuka
Sasa hivi fuatilieni Kila mtu na maisha yake
Sasa hivi kila mtu anasema kama kuiba acha waibe tu kila mtu afe na chake. Ukijichanganya kujifanya mwanaharakati uchwara upo tanzania na huna hata pistol utatekwa utapotezwa na hakuna atakaekukumbuka
Sasa hivi fuatilieni Kila mtu na maisha yake