johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Kwahiyo mnakopea hati za club au zile Treasury bills alizosema CEO Magori?!!!Sasa nani alikwambia hata zile sajili za Real Madrid au kina Kroenke kununua hisa za arsenal pesa inatolewa Cash?? Hizi biashara kubwa kukopa na kuwekeza ni kitu cha kawaida ndio maana unakuta timu kama Real Madrid na Barcelona zina madeni makubwa sana licha ya kuwa zina mapato makubwa sababu biashara ndio mzunguko wa hivo unakopa hapa unawekeza kule. Sasa kama mlidhani uwekezaji ni lazima cash money mmechemka maana hata Abramovich hakufanya hivyo!! Ni vizuri hao viongozi wa simba wakasome sheria za mikataba na biashara za kimataifa ili wafunguke akili.
NB: Hati fungani akinunua means yeye ndio anakopesha serikali.... Ila akiuza hati fungani means yeye ndio anakopeshwa na serikali!!
Rudi tu jukwaa la siasa ukatetee CCM huku hapakufai