Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,719
- 218,267
- Thread starter
- #161
Mzee Kilomoni utusamehe sana sisi wajukuu zako , ulituonya lakini hatukusikia .
Hakika mkubwa dawa .
Mzee Kilomoni utusamehe sana sisi wajukuu zako , ulituonya lakini hatukusikia .
Hongera mkuu kwa kuwa na ujasiri wa kutubu!Mzee Kilomoni utusamehe sana sisi wajukuu zako , ulituonya lakini hatukusikia .
Hakika mkubwa dawa .
Mzee alijitahidi kuwaamsha maambumbumbu wakamletea defender mpakaa nyumbani kwakeSasa ni kwamba Kilomoni alikuwa sahihi ?
Haya majina nayo ni mapunye. Tatizo ni njaaHuu ni ujumbe wangu kwa wapenda haki wote kwenye soka la Tanzania .
Ili alete nn klabun? Tumia akili. Pesa na football vs njaa na footballKwa kweli Wanachana na Mashabiki wa Simba wakishindwa kumlinda mmiliki halali wa Timu yao.....!? Watathibitisha kweli Mbumbumbu...
Wamlinde Hamisi Kilomoni, watakuwa wamelinda hati yao na timu yao,
Wapenda haki ktk soka la Tanzania naamini watakusikia na kukuelewa kwa msg uliyoiweka hapa jukwaani, ila jukumu kubwa ni kwa Simba wenyewe..
Bi Hindu na Mzee Kilomoni peke yao hawawezi....wamejitahidi kupigania Club yao kwa kweli.
Nakubaliana na mtoa Post.
Team MO hujambo ?Ili alete nn klabun? Tumia akili. Pesa na football vs njaa na football